Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wanasema wamegundua yule ng'ombe anatabiri matokeo kinyume...alisema Ajax lakini ni man united wakaibuka mabingwa...sasa nasikia ametabiri madrid atashinda na kwenye FA chelsea atashinda ngoja tusubiri tuone kama ni kweli kwa sasa asichinjwe kwanza

Yule ng,ombe yuko sahihi katika utabiri wake!!Ng,ombe katabiri Ajax kaliwa!!kilicholiwa si kilikuwa ktk Chombo cha Ajax??maana yake Ajax ataliwa na kaliwa Kweli tena mapemaaaA
 
e7902f49230ebd2e6b34ebd84d49edf0.jpg
 
In fact alipoona nguvu ya kukabiliana na akina Chelsea ni ndogo, Mourinho aliamua kuhamishia majeshi Europa. Uamuzi wake haujamuangusha kabisa
Ni funzo kubwa sana maishani kwamba usipoteze muda kung'ang'ana na vitu ulivyopoteza bali tumia kile ulichonacho na ukishike sana ili ufike unapotakiwa.

#Mouisgenious#VivaUnited#
 
Back
Top Bottom