Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_2017-05-25-20-38-27.png
 
Nimependa wanachokifanya man city kuondoa wachezaji ambao hawana mchango mkubwa sana kwenye timu au ambao wameona hawaendani na jinsi vile wanavyotaka timu icheze

Najua na man united tunao wachezaji ambao kiwango kimeshashuka, au hawana mchongo mkubwa tena kwa timu hivi sana na baadhi yao wakipokea fungu kubwa kila wiki

Baadhi ya wachezaji ambao inasemakana wataondoka man city ni
Paulo zabalet
Gaely clichy
Jesus navas
Bakary sagna
Willy cabalerro
Na yaya toure ambaye huyu labda wanaweza kumuongeze msimu mmoja kwa makubaliano ya kukata mshahara wake

Tusubiri tuone mipango ya Morinho.

Nna uhakika atakuwa mulemule.
 
Back
Top Bottom