☆ PRIZES FOR EPL 2016-17 ☆

1.CHE £38m

2.TOT £36.1m

3.CITY £34.2m

4.LIVER £32.3m

5.ARS £30.4m

6.M.UTD £28.5m

7.EVERT £26.6m

PRIZE OF MONEY FOR WINNING
EUROPA CUP IS £27m....

☞☞☞ All In All EUROPA ni kikombe cha MBUZI mnapata sawa na EVERTON aliye nafasi ya 7
Nina uhakika mkuu hesabu o level ulipata 0 kama ulisomaga lakini
 
Overall kwa msimu wa 2016-2017 tumepata pesa nyingi kushinda kikombe chako cha EPL
sijaongelea overall mkuu, yaan ni kwamba hilo kombe ni la mbuzi........ yaani thaman yake ni sawa alieshika nafas y 7 EPL.
 
☆ PRIZES FOR EPL 2016-17 ☆

1.CHE £38m

2.TOT £36.1m

3.CITY £34.2m

4.LIVER £32.3m

5.ARS £30.4m

6.M.UTD £28.5m

7.EVERT £26.6m

PRIZE OF MONEY FOR WINNING
EUROPA CUP IS £27m....

☞☞☞ All In All EUROPA ni kikombe cha MBUZI mnapata sawa na EVERTON aliye nafasi ya 7
shallow minded fun
 
☆ PRIZES FOR EPL 2016-17 ☆

1.CHE £38m

2.TOT £36.1m

3.CITY £34.2m

4.LIVER £32.3m

5.ARS £30.4m

6.M.UTD £28.5m

7.EVERT £26.6m

PRIZE OF MONEY FOR WINNING
EUROPA CUP IS £27m....

☞☞☞ All In All EUROPA ni kikombe cha MBUZI mnapata sawa na EVERTON aliye nafasi ya 7

28.5+27=55.5. Wazazi wako wana kazi. Hapa bado sijajumlisha tv rights money
126bf2ef569bea6eb913983fd8d9c860.jpg
 
Mourinho alivyokuja watu walisema ndio mwisho wa Rashford,kwa alionao Rashford anapaswa kuwa back-up striker na kinachomsaidia ni kwamba anaweza kucheza kama winga
Ngoja tuone usajili utakuwaje. Ila inasemekana Mou anata wachezaji wa4 tu. Na pia nahisi kitendo cha kumjumuisha Morata ktk deal la De Gea ni kama kawaambia Madrid David is not for sale. Kamuwekea price tag ya milion 65,ila wakitegea na Morata watampata kwa milioni 21.

Wakati Madrid wao wanasema value ya Morata ni milion 60.
 
Back
Top Bottom