Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,882
- 10,193
Mourinho want only one player from Monaco Bakayoko while Pep want Mendy,Silva and FabinhoMayb u r right. Kwasababu nimeskia Monaco imekubali milion 60 za City.
Mourinho want only one player from Monaco Bakayoko while Pep want Mendy,Silva and FabinhoMayb u r right. Kwasababu nimeskia Monaco imekubali milion 60 za City.
Nina uhakika mkuu hesabu o level ulipata 0 kama ulisomaga lakini☆ PRIZES FOR EPL 2016-17 ☆
1.CHE £38m
2.TOT £36.1m
3.CITY £34.2m
4.LIVER £32.3m
5.ARS £30.4m
6.M.UTD £28.5m
7.EVERT £26.6m
PRIZE OF MONEY FOR WINNING
EUROPA CUP IS £27m....
☞☞☞ All In All EUROPA ni kikombe cha MBUZI mnapata sawa na EVERTON aliye nafasi ya 7
we mku.ndu, una hamu eeh?Akili zako zimekaa matakoni kama za gigy money ....
sijaongelea overall mkuu, yaan ni kwamba hilo kombe ni la mbuzi........ yaani thaman yake ni sawa alieshika nafas y 7 EPL.Overall kwa msimu wa 2016-2017 tumepata pesa nyingi kushinda kikombe chako cha EPL
shallow minded fun☆ PRIZES FOR EPL 2016-17 ☆
1.CHE £38m
2.TOT £36.1m
3.CITY £34.2m
4.LIVER £32.3m
5.ARS £30.4m
6.M.UTD £28.5m
7.EVERT £26.6m
PRIZE OF MONEY FOR WINNING
EUROPA CUP IS £27m....
☞☞☞ All In All EUROPA ni kikombe cha MBUZI mnapata sawa na EVERTON aliye nafasi ya 7
hapo kuna hesabu gani sasa? ........ au labda kingereza ndio tatizo.Nina uhakika mkuu hesabu o level ulipata 0 kama ulisomaga lakini
Asante sana dear wangu nakumiss ile ile ila mwaka huu mmeniangusha mno,hope tutakutana Italy.
☆ PRIZES FOR EPL 2016-17 ☆
1.CHE £38m
2.TOT £36.1m
3.CITY £34.2m
4.LIVER £32.3m
5.ARS £30.4m
6.M.UTD £28.5m
7.EVERT £26.6m
PRIZE OF MONEY FOR WINNING
EUROPA CUP IS £27m....
☞☞☞ All In All EUROPA ni kikombe cha MBUZI mnapata sawa na EVERTON aliye nafasi ya 7
Alvaro Morata very good signing akiifanikisha watakiona cha mtema kuni
Teh! Teh! Teh!
Ila ujio wa Morata na Griezman kama ukifanikiwa maana yake Rashford atakuwa ktk wakati mgumu.Alvaro Morata very good signing akiifanikisha watakiona cha mtema kuni
Mourinho alivyokuja watu walisema ndio mwisho wa Rashford,kwa alionao Rashford anapaswa kuwa back-up striker na kinachomsaidia ni kwamba anaweza kucheza kama wingaIla ujio wa Morata na Griezman kama ukifanikiwa maana yake Rashford atakuwa ktk wakati mgumu.
Ngoja tuone usajili utakuwaje. Ila inasemekana Mou anata wachezaji wa4 tu. Na pia nahisi kitendo cha kumjumuisha Morata ktk deal la De Gea ni kama kawaambia Madrid David is not for sale. Kamuwekea price tag ya milion 65,ila wakitegea na Morata watampata kwa milioni 21.Mourinho alivyokuja watu walisema ndio mwisho wa Rashford,kwa alionao Rashford anapaswa kuwa back-up striker na kinachomsaidia ni kwamba anaweza kucheza kama winga