Huyu jamaa hatariNamkubali huyu kijana na Marcus rojo hatariiiiii
Ng'ombe kwisha habari yake aisee.ndio huyo mkuu
inapofikia stage ya final MOU huwa hatabiriki
Na tushereheke Tu.Mwaaaaaaaaaaaa!!!!!
Kwa hiyo mkuu ulitaka wasichangie? Ivi kuna masharti ya kuchangia thread now a days??? Kumbuka kinyume cha furaha ni huzuni na hasira...tusifikishane huko arifu acha watu wawe huru!!everlenk
Njoo huku kun vijana wapya wamevamia sred yako!
Ww hukuondoka ktk sred hii hata team ilipokuwa down
Lkn sasa wamevamia hawa wanaokuja team inapofanya vyema tu wanataka kukupokonya sred!
Pigania haki yako shem