Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

18697990_10154775667157746_3153852231692678247_n.jpg
 
Now, ngoja tusubirie usajili kitu ambacho najua Mourinho hatatuangusha. Baada ya hapo bring em' yeyote kati ya Juventus au Real Madrid. Can't wait.
 
everlenk
Njoo huku kun vijana wapya wamevamia sred yako!
Ww hukuondoka ktk sred hii hata team ilipokuwa down
Lkn sasa wamevamia hawa wanaokuja team inapofanya vyema tu wanataka kukupokonya sred!
Pigania haki yako shem
Kwa hiyo mkuu ulitaka wasichangie? Ivi kuna masharti ya kuchangia thread now a days??? Kumbuka kinyume cha furaha ni huzuni na hasira...tusifikishane huko arifu acha watu wawe huru!!
 
Back
Top Bottom