sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
Hatimae umeonekana, Loh asante kwa pongezi.Leo nitakomaje? Hahaha
Jana nimeangalia mechi,kipindi cha kwanza kilipoisha nikawa na imani na cha pili...kimeanza tu mkaongeza goli nikaenda kulala kwa hasira,nikachungulia dakika ya 70 yaleyale nikagive up.
Hongereni jama,nanyi mcheze UCL sasa maana kama sikosei mwisho ni mwaka 2013/4...mkafanye wonders sasa sio mtolewe round ya 1![]()
![]()
cc sister radika kisu cha ngariba na wengine woooote.