Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii deflection haikua ya kitoto, nampongeza huyu kipa...yaani umejipanga kwenda kulia, unafika kulia unaona mpira uleeee unakimbia spidi kuelekea kushoto hahahahaaa


40C17F8600000578-0-image-a-50_1495653745298.jpg
 
Huyu namba 11 wao alikua hataria sana pamoja na yule traole, huyu traole ndio alikua balaa kabisa! yani unamkuta ameingia namba kumi mara yuko namba 11 hujakaa vizuri unamuona yuleeee kule namba upande wa kulia namba saba anakimbia kama swala daaah!!

Good news is walidhibitiwa kiustadi kabisa!!

40C1C19000000578-0-image-a-81_1495657116860.jpg
 
Gareth bale or Reus tukifanikiwa napo kumpata mchezaji mmoja kati yao kwa ajili ya Winga nayo sio mbaya tunahitaji kurudisha mpira wetu na heshima Man U ina utamaduni wa kutumia mawinga washa wenye kasi na washambuliaji wawili pale mbele huku ikiwa na viungo mafundi wenye roho ya paka pale kati,kwa nafasi ya mabeki tupate full back mmoja kwa ajili ya kumpumzisha Baily na kuziba pengo anapokuwa majeruhi au kuwa na kadi.

All in all tumelinda mikataba yetu ya kibiashara,hadhi na kuvutia wawekezaji wengine

This is Manchester United i use to know
Gareth Bale atatufaa sana coz ana spidi kule Madrid kachokwa
 
Haya saasaaaaaaa!!! heheheheee yani leo ni furaha mbili ya kwanza kubeba kombe ya pili ambayo naweza sema ndiyo kubwa zaidi ni kupata uhakika wa UEFA next season!!! heheheheee leo mou kashangilia kinyamaaaaa muone hapo alivo na mzuka!!!

Japo hatukuingia big four ila malengo yametimia UEFA next season!!! GGMU

UNITED FOREVER WE STAND!!


40C252CD00000578-0-image-m-18_1495659912456.jpg
 
Back
Top Bottom