Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

united: in 10 months.
Arsenal: in 10 years.
liverpool: in 10 years.

Arsenal fans: Manchester is the next liverpool.

liverpool fans: Manchester is a finished club.
 
Ashley Young
Wayne Rooney
Chris Smalling
Phill Jones
Fellain
Luke Shaw
Zlatan

Hawa wanaweza wasiwepo msimu ujao.

DeGea
Baily
Pogba
Mikhitayran
Rashford
Mata
Herera
Blind
Valencia
Rojo

Wana uhakika wa kuwepo msimu ujao

Carrick
Lingard
Darmian
Hawa wapo mguu nje mguu ndani.
 
Ashley Young
Wayne Rooney
Chris Smalling
Phill Jones
Fellain
Luke Shaw
Zlatan

Hawa wanaweza wasiwepo msimu ujao.

DeGea
Baily
Pogba
Mikhitayran
Rashford
Mata
Herera
Blind
Valencia
Rojo

Wana uhakika wa kuwepo msimu ujao

Carrick
Lingard
Darmian
Hawa wapo mguu nje mguu ndani.
Zlatan napenda abakishwe ila awe anacheza baahi ya mechi na wakati mwingine kama super sub....
Kama Sir Fergie alivyokuwa anawatumia kina Teddy Sherigham na Henrik Lasson ili kupata matokeo
Asiwe mchezaji tegemezi .....Hao wengine tunaweza kuwapa mkono wa kwaheri na wapongezi kwa kuwa watumishi wazuri wakati wakiwa Manchester United.
 
Zlatan napenda abakishwe ila awe anacheza baahi ya mechi na wakati mwingine kama super sub....
Kama Sir Fergie alivyokuwa anawatumia kina Teddy Sherigham na Henrik Lasson ili kupata matokeo
Asiwe mchezaji tegemezi .....Hao wengine tunaweza kuwapa mkono wa kwaheri na wapongezi kwa kuwa watumishi wazuri wakati wakiwa Manchester United.
Nimehisi anaweza kutundika daluga ndo maana nimemuweka kwenye list ya wanaoondoka.
 
ikitokea tumechukua ueropa, hata tukiwa wa sita, tutakua tumechukua makombe mawili na kucheza uefa bila play off, huku liverpool na arsenal wakifurahia kumaliza juu ya Manchester.

maana hayo ndio yatakua mafanikio yao ya msimu.
 
Ukweli lazima usemwe hata kama utauma bado tuna wajibu wa kusema.Mechi yetu na Arsenal Mwl alikosea mikakati ya ushindi tangu mwanzo.Lawama zote za kufungwa Jose lazima abebeshwe.
 
Ukweli lazima usemwe hata kama utauma bado tuna wajibu wa kusema.Mechi yetu na Arsenal Mwl alikosea mikakati ya ushindi tangu mwanzo.Lawama zote za kufungwa Jose lazima abebeshwe.
waache na wao wafurahi bana
 
Screenshot_2017-05-09-10-14-41.png
 
Back
Top Bottom