Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu mimi nagombana na mashabiki wasiotaka kusikia mawazo ya wenzao, yaani wanaojifanya wao tu ndo wanajua kuanalyse mpira, ukinifuatilia mwanzo utagundua hilo, sasa wewe mtu anakuambia uhame timu eti kwa sababu umeongea kitu tofauti na anavoamini yeye, sasa huo si ujinga? Hakuna mtu mwenye haki ya kumpangia mwengine humu cha kuandika, sote ni mashabiki tu wa kawaida, kama hukubaliani na mawazo ya mwengine kaa kimya na wala usilazimishe sote tuamini unavoamini wewe
Ukileta lugha za kejeli tutakukejeli tu
Sasa wewe kutembelea carrington kuna uhusiano gani na kutoa maoni juu ya timu au mchezaji flani? Kwamba ukitembelea carrington utakua na uelewa zaidi wa kutoa maoni yako kuhusu timu kuliko ambaye hajafika? Ndo maana nasema ni ushamba, ujinga na ulimbukeni kutuletea tambo hizo
 

 
bora jukwaa la arsenal lililojifia kuliko mipasho inayoendelea humu ndani
 
Kaka umenena sana
Wengine wetu mapenz kwa wachezaji Fulani yanatusumbua sana Jana mou katukata vilimilimj n that's wht is called tactics
 
Kama huoni mchango wa limgard Utakua na matatizo mkuu no offence
 
Neville aona Ibra na Rashford kuendelea kucheza pamoja ndani ya mipango ya Mourhnio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…