kabisa mkuu tumefikiri sawa ngoja confirmed lineup zitoke ila akiwa ameanza fosu mensah najua game itakuwa upande wetuHii game inahitaji watu wenye kasi ndio maana nikampendekeza Fosu mensah.. Yani mou asipomuanzisha fella sijui!
dah watatuua hawa kikosi gani hapo toa fellain huyo mbona mensah mzur tuAccording to Stuart Gadner:
Degea
Valencia
Bailly
Rojo
Shaw
Hereira
Fellain
Pogba
Mikhtaryan
Ibrahomovic
Rashford
Fellain mechi kama hizi huwa anacheza vizuri sana.....Mensah bado sana....dah watatuua hawa kikosi gani hapo toa fellain huyo mbona mensah mzur tu
anacheza vizur bt hana speed ya kucover tukiwa tumezidiwa mkuuFellain mechi kama hizi huwa anacheza vizuri sana.....Mensah bado sana....
Duh Ander herrera! Sio kwa mechi ya leo labda aumwe.Naona kama kuna dalili ya Mo ku switch 3 4 3,
Kna dalili Ander herera , miki watokuwepo, Huku Young , Valencia, Baily wakitegemea kuanza nyuma
Sasa big fella ana spd gani kufukuzana na kina hazad na pedro wanapo anzisha mashambulizKwa aina ya uchezaji wa Big Fella nahisi ana umuhimu kwa ajili ya kupunguza kasi kutoka chelsea
12 jionsisi wengi tupo usingizin
jaman mechi saa ngapi? nijiandae
Pochetino na kosi lake ndo anamwezea konte kucheza hard copy ya huo mfumo sasa sijui kama ss tutaweza...Naona kama kuna dalili ya Mo ku switch 3 4 3,
Kna dalili Ander herera , miki watokuwepo, Huku Young , Valencia, Baily wakitegemea kuanza nyuma
18:00Wakuu kwan mechi ni saa ngap...????