Jamani Leo tuulizane ni kipi/au mikasa ipi uliyopitia katika Enzi za kuendelea kuwa shabiki wa damu wa man utd mm ni haya machache tu tililika na wewe
1.nilipingwa na kunyimwa msosi kisa nimeenda kuangaria mpira ...Man utd
2.kuna siku nilitumwa mafuta ya kupikia nikaenda kulipia hiyo hela mpira kisa tu chama linachenza
3.Nilipingana na shabiki madazi wa arsenal kisa kubishana ,kwenye kibada umiza
4.nimechan mikeka mingi tu kisa man utd kwa kumpa ushindi hata game ambayo sina uhakika w kushida...
 
Neymar karibu Old Trafford ujiwekee historia inayoeleweka


View attachment 487604
Manchester united timu yangu ndio naona inaelekea kaburini hivyo ... Sioni transfer zake kama ni za technical demands... Recently transfer za Manchester utd zimekuwa na malengo ya kisoko zaidi kuliko ufundi... Angalia pia hata usajili wa Pogba ..


Najua nitapingwa saaaaana ila huu ndio ukweli .... Sidhani kama mourinho kwenye orodha ya wachezaji anaowataka kichwani mwake huyo neymar yumo...


CEO wa manchester inabidi abalance mambo. Tangu aondoke CEO David Gill Manchester united usajili wake umekuwa umeeegea zaidi soko... Ed Woodward kama CEO wa sasa aige utashi wa David gill alifanikiwa kufanya transfer za hatari uwanjani na sokoni tena si kwa kusajili majina makubwa....


Please Ed Woodward jaribu kubalance mambo, epuka kujikita zaidi kwenye malengo ya kisoko huku ukiacha timu ikienda na maji... Watu wanahitaji mataji na kumaliza ndani ya top four ... Sajili wachezaji wa kufanikisha lengo hili..

Wengi mtasema kwani neymar hawezi kuifikisha team top four ??? Anaweza. Ila kwa team yetu haimuhitaji messi, ronaldo wala neymar... Tunahitaji squad reshufle ya wachezaji kuingia kwenye mfumo wa mourinho..
 
Manchester united timu yangu ndio naona inaelekea kaburini hivyo ... Sioni transfer zake kama ni za technical demands... Recently transfer za Manchester utd zimekuwa na malengo ya kisoko zaidi kuliko ufundi... Angalia pia hata usajili wa Pogba ..


Najua nitapingwa saaaaana ila huu ndio ukweli .... Sidhani kama mourinho kwenye orodha ya wachezaji anaowataka kichwani mwake huyo neymar yumo...


CEO wa manchester inabidi abalance mambo. Tangu aondoke CEO David Gill Manchester united usajili wake umekuwa umeeegea zaidi soko... Ed Woodward kama CEO wa sasa aige utashi wa David gill alifanikiwa kufanya transfer za hatari uwanjani na sokoni tena si kwa kusajili majina makubwa....


Please Ed Woodward jaribu kubalance mambo, epuka kujikita zaidi kwenye malengo ya kisoko huku ukiacha timu ikienda na maji... Watu wanahitaji mataji na kumaliza ndani ya top four ... Sajili wachezaji wa kufanikisha lengo hili..

Wengi mtasema kwani neymar hawezi kuifikisha team top four ??? Anaweza. Ila kwa team yetu haimuhitaji messi, ronaldo wala neymar... Tunahitaji squad reshufle ya wachezaji kuingia kwenye mfumo wa mourinho..
Neymar anapalilia kuongezewa mkataba mpya ni ujanja unaotumiwa na mawakala ili mchezaji aongezewe mkataba,hii sio mara ya kwanza kufanya huo mchezo
 
Rashford amwaga cheche!

Screenshot_2017-03-27-21-39-37.png
 
Manchester united timu yangu ndio naona inaelekea kaburini hivyo ... Sioni transfer zake kama ni za technical demands... Recently transfer za Manchester utd zimekuwa na malengo ya kisoko zaidi kuliko ufundi... Angalia pia hata usajili wa Pogba ..


Najua nitapingwa saaaaana ila huu ndio ukweli .... Sidhani kama mourinho kwenye orodha ya wachezaji anaowataka kichwani mwake huyo neymar yumo...


CEO wa manchester inabidi abalance mambo. Tangu aondoke CEO David Gill Manchester united usajili wake umekuwa umeeegea zaidi soko... Ed Woodward kama CEO wa sasa aige utashi wa David gill alifanikiwa kufanya transfer za hatari uwanjani na sokoni tena si kwa kusajili majina makubwa....


Please Ed Woodward jaribu kubalance mambo, epuka kujikita zaidi kwenye malengo ya kisoko huku ukiacha timu ikienda na maji... Watu wanahitaji mataji na kumaliza ndani ya top four ... Sajili wachezaji wa kufanikisha lengo hili..

Wengi mtasema kwani neymar hawezi kuifikisha team top four ??? Anaweza. Ila kwa team yetu haimuhitaji messi, ronaldo wala neymar... Tunahitaji squad reshufle ya wachezaji kuingia kwenye mfumo wa mourinho..
Fuatilia ujue huyo David Gill na Peter Kenyon walivunja rekodi kwa wachezaji wangapi.
Kuna wakati soko huliepuki mkuu, demand ni kubwa kuliko supply. Wachezaji ni wachache kuliko mahitaji.
Fikiria kungekuwa na wachezaji 20 wenye uwezo kama Pogba, bei yake ingekuwa kama ilivyo?
Pia, kumbuka kocha ndo anaehitaji mchezaji, Woodward ndo anaenda sokoni kumchukua huyo mchezaji.
Hajinunulii tu.
 
Fuatilia ujue huyo David Gill na Peter Kenyon walivunja rekodi kwa wachezaji wangapi.
Kuna wakati soko huliepuki mkuu, demand ni kubwa kuliko supply. Wachezaji ni wachache kuliko mahitaji.
Fikiria kungekuwa na wachezaji 20 wenye uwezo kama Pogba, bei yake ingekuwa kama ilivyo?
Pia, kumbuka kocha ndo anaehitaji mchezaji, Woodward ndo anaenda sokoni kumchukua huyo mchezaji.
Hajinunulii tu.
Nakubaliana na wewe unataka kusema enzi za Kenyon na David Gill waliweza kuvunja record kuipita Madrid !!!!!?? ...


Sir Alex furguson na CE's wake wote Tangu mwaka 1986 transfer zao zote zilijikita kwenye tecnical demand kuliko marketing demand.... Japo Kuna Vipindi alimwaga hela ila hiyo hela ilirudi kwa mafaniko tulioyaona uwanjani....

1. Wayne Rooney alivunja record ya kusajiliwa kwa fedha nyingi akiwa na umri mdogo... Tunaona mafanikio yake uwanjani ... Amecheza fainali tatu za uefa na moja tukabeba ndoo.. Najua unaukumbuka usiku wa Moscow vs Chelsea ....


2. Dimitry Berbertov alisajiliwa kwa hela ndefu akitokea Tottenham .. Nina imani unajua vikombe vingapi ametuwezesha kubeba..


3. Rio Ferdinand alisajiliwa kwa hela ndefu na kuwa beki ghali duniani kwa muda ule.. Hakuna shabiki wa utd anaejua mchango wa huyu MTU pale utd... Kacheza fainali tatu za uefa akipacha na Komeo Nemanja Vidic...

Hii ni mifano michache ya transfer za utd enzi za David Gill zikivyokuwa zimejikita kwenye Technical demands kuliko market demands ambapo wachezaji wanaosajiliwa na CEO wetu mpya wanakuja kuiwezesha Manchester utd kung'aa zaidi sokoni kwa kuuza jezi na bidhaa zingine za timu...


Woodward sioni kama Nafasi ya kuwa CEO inamfaa. Jamaa ni mzuri sana kwenye soko ... Ila coordination yake na kocha kuleta vyombo uwanjani sijaiona..
 
Nakubaliana na wewe unataka kusema enzi za Kenyon na David Gill waliweza kuvunja record kuipita Madrid !!!!!?? ...


Sir Alex furguson na CE's wake wote Tangu mwaka 1986 transfer zao zote zilijikita kwenye tecnical demand kuliko marketing demand.... Japo Kuna Vipindi alimwaga hela ila hiyo hela ilirudi kwa mafaniko tulioyaona uwanjani....

1. Wayne Rooney alivunja record ya kusajiliwa kwa fedha nyingi akiwa na umri mdogo... Tunaona mafanikio yake uwanjani ... Amecheza fainali tatu za uefa na moja tukabeba ndoo.. Najua unaukumbuka usiku wa Moscow vs Chelsea ....


2. Dimitry Berbertov alisajiliwa kwa hela ndefu akitokea Tottenham .. Nina imani unajua vikombe vingapi ametuwezesha kubeba..


3. Rio Ferdinand alisajiliwa kwa hela ndefu na kuwa beki ghali duniani kwa muda ule.. Hakuna shabiki wa utd anaejua mchango wa huyu MTU pale utd... Kacheza fainali tatu za uefa akipacha na Komeo Nemanja Vidic...

Hii ni mifano michache ya transfer za utd enzi za David Gill zikivyokuwa zimejikita kwenye Technical demands kuliko market demands ambapo wachezaji wanaosajiliwa na CEO wetu mpya wanakuja kuiwezesha Manchester utd kung'aa zaidi sokoni kwa kuuza jezi na bidhaa zingine za timu...


Woodward sioni kama Nafasi ya kuwa CEO inamfaa. Jamaa ni mzuri sana kwenye soko ... Ila coordination yake na kocha kuleta vyombo uwanjani sijaiona..

We usituzingue. Upo Sub Saharan Africa tena Third World Country ambayo hata haifahamiki kwahiyo huna haki ya kujudge uCEO wa Ed wakati waliomchagua wanafanya nae kazi kila kukicha na wanajua uwezo wake.
Kuwa na impact kwenye transfer market ni jambo la muhimu kwa timu kubwa kama Manchester United. Kuvunja rekodi sio lazima iwe Madrid au Bayern.
Technical demand ipi unaiongelea? Toka wakati wa SAF timu ilikuwa na tatizo la midfield, makocha wote waliofuata baada ya SAF bado hilo eneo liliwasumbua.
Morinho amekuja ameanza kuleta uhai kwenye timu kuanzia beki hadi midfield. Tatizo la ushambuliaji limejitokeza msimu huu pamoja na kumleta Zlatan still tatizo lipo na ndo kazi ya kocha kumwambia Ed anamtaka mchezaji yupi kuziba hilo pengo.
Pobga amekuja ndo kwanza amemaliza msimu wa kwanza, unamlinganisha na kina Rio, Rooney, Berbatov waliokaa na kuonesha matokeo baada ya misimu mitatu na kuendelea.
Management, Board na Benchi la Manchester sio wajinga kutoa hela zile kwasababu wanajua uwezo wa Pogba na wamekaa nae msimu mzima.
Sasa inakuaje unaanza kulalamika hakuna Usajili wa Technical? Unadhani Ed anaamka kwenda sokoni bila kupewa list na Morinho?
Manchester United ni club kubwa duniani, hatujazoea kuishi kimasikini. Mambo ya kununua wachezaji kama Arsenal na timu ndogo tumeshaacha nao.
Pesa ipo, mchezaji analeta matokeo, jezi anauza, na TV rights zinaongezeka.
Unakua kama hujui biashara?
Pogba alirudisha hela ndani ya week, sahivi tunakula faida tu na uwanjani anadeliver.
Midfield ya Herera, Pogba imeanza kutulia, tumebaki kuongeza nguvu kidogo kuwe imara zaidi. Ushambuliaji nako kuna tatizo, tunahitaji washambuliaji wawili wa kuziba hiyo nafasi. Beki nako kuna nyufa za Smalling zinatakiwa kuzibwa.
World class strikers wapo wachache sana kwahiyo sitashangaa hata huyo Griezman akauzwa £100M na utanunua tu kwasababu huna option na hakuna timu ya kueleweka ambayo watakuuzia strikers. Ni sawa na mkulima akuuzie ng'ombe anayemletea maziwa kila siku.
Hadi hapo Morinho na Ed wamefanya kazi kubwa.
 
Fuatilia ujue huyo David Gill na Peter Kenyon walivunja rekodi kwa wachezaji wangapi.
Kuna wakati soko huliepuki mkuu, demand ni kubwa kuliko supply. Wachezaji ni wachache kuliko mahitaji.
Fikiria kungekuwa na wachezaji 20 wenye uwezo kama Pogba, bei yake ingekuwa kama ilivyo?
Pia, kumbuka kocha ndo anaehitaji mchezaji, Woodward ndo anaenda sokoni kumchukua huyo mchezaji.
Hajinunulii tu.
Na muambie ivi Ed ni master wa marketing yeye anajua mno kunegotiate contract na wakala na mchezaji
Kwenye soko la kununua wachezaji jamaa hanaga mbinu huko kabisaaaa na ndipo hapa gill alipopatia sifa kubwa sana duniani
 
Na muambie ivi Ed ni master wa marketing yeye anajua mno kunegotiate contract na wakala na mchezaji
Kwenye soko la kununua wachezaji jamaa hanaga mbinu huko kabisaaaa na ndipo hapa gill alipopatia sifa kubwa sana duniani
Sasahivi kuna scarcity ya wachezaji hasa wanaocheza kwenye key position, specifically strikers.
Utakuta striker mmoja mnamgombania timu kubwa 4. Na opponents wako wapo tayari kutumia kitita kikubwa iwezekanavyo.
 
Lakini pia mnapojadili hilo mkumbuke na mkataba wa Adidas,unataka kusajiriwa wachezaji wenye majina makubwa ,timu kucheza uefa na km mnakubuka tusipocheza uefa wanapunguza asilimia 3% ya ufadhili wao .
Pia niseme tu kwamba neymar ni mchezaji ambaye anamchango mkubwa tu, mm pengo ninaloliona kwa sasa hatuna strike mwenye njaa ya magoal pamoja na beki wa kumuweka bechi smalling na katikati pogba anazindi kuimalika mm naamini kabisa msimu ujao pogba atakuwa poa sana
Najua kibiashara pia timu inahitaji watu kama hawao .
 
We usituzingue. Upo Sub Saharan Africa tena Third World Country ambayo hata haifahamiki kwahiyo huna haki ya kujudge uCEO wa Ed wakati waliomchagua wanafanya nae kazi kila kukicha na wanajua uwezo wake.
Kuwa na impact kwenye transfer market ni jambo la muhimu kwa timu kubwa kama Manchester United. Kuvunja rekodi sio lazima iwe Madrid au Bayern.
Technical demand ipi unaiongelea? Toka wakati wa SAF timu ilikuwa na tatizo la midfield, makocha wote waliofuata baada ya SAF bado hilo eneo liliwasumbua.
Morinho amekuja ameanza kuleta uhai kwenye timu kuanzia beki hadi midfield. Tatizo la ushambuliaji limejitokeza msimu huu pamoja na kumleta Zlatan still tatizo lipo na ndo kazi ya kocha kumwambia Ed anamtaka mchezaji yupi kuziba hilo pengo.
Pobga amekuja ndo kwanza amemaliza msimu wa kwanza, unamlinganisha na kina Rio, Rooney, Berbatov waliokaa na kuonesha matokeo baada ya misimu mitatu na kuendelea.
Management, Board na Benchi la Manchester sio wajinga kutoa hela zile kwasababu wanajua uwezo wa Pogba na wamekaa nae msimu mzima.
Sasa inakuaje unaanza kulalamika hakuna Usajili wa Technical? Unadhani Ed anaamka kwenda sokoni bila kupewa list na Morinho?
Manchester United ni club kubwa duniani, hatujazoea kuishi kimasikini. Mambo ya kununua wachezaji kama Arsenal na timu ndogo tumeshaacha nao.
Pesa ipo, mchezaji analeta matokeo, jezi anauza, na TV rights zinaongezeka.
Unakua kama hujui biashara?
Pogba alirudisha hela ndani ya week, sahivi tunakula faida tu na uwanjani anadeliver.
Midfield ya Herera, Pogba imeanza kutulia, tumebaki kuongeza nguvu kidogo kuwe imara zaidi. Ushambuliaji nako kuna tatizo, tunahitaji washambuliaji wawili wa kuziba hiyo nafasi. Beki nako kuna nyufa za Smalling zinatakiwa kuzibwa.
World class strikers wapo wachache sana kwahiyo sitashangaa hata huyo Griezman akauzwa £100M na utanunua tu kwasababu huna option na hakuna timu ya kueleweka ambayo watakuuzia strikers. Ni sawa na mkulima akuuzie ng'ombe anayemletea maziwa kila siku.
Hadi hapo Morinho na Ed wamefanya kazi kubwa.
Sawa nakubali Mimi naishi Tanzania ( sub sahara country)... Sijui wewe mwenzangu mungu kakubaliki unaishi wapi ... Naona badala ya kujikita kwenye kwenye hoja umeanza personal attacks kama kama mwanamke Malaya.. Kuwa kama mwanaume halisi sio maneno ya kipuuzi ....


Unajifanya we ni mdau Mkubwa wa Manchester wakati hata membership huna... Shenzi kabisa.. Bado shabiki uchwara una maneno ya shombo kwa shabiki mwenzio ingekuwa vipi ungekuwa na Membership card ya Manchester si ndio ungetuita vichaa....



Mimi ni shabiki ninaengoa good or bad kuhusu team na huna mandatory duty ya kunizuia kuongea as longer as sivunji taratibu za Jf..... It's my own opinion.. Siwezi kujenga hoja na wewe inaonekana ushabiki umekutawala ...



Hivi umesoma vyema nilichokiandika? Hivi umeelewa vyema hoja niliyoiongelea??? Sitaki niongee ila nakuomba usome kwa Mara ya pili inaonekana wewe una womanic instincts kwenye comments za wanaume .....


Unasema pogba amesharudisha hela iliyomsajili... Mjinga kweli wewe, yani ninavyosema recent united transfer zimejikita kwenye soko kuliko sababu za uwanjani hunielewi... Kwa taarifa yako mchezaji bora haitaji msimu zaidi ya mmoja kujidhirisha ubora wake.... Ngolo kante amedhihirisha hilo pale Chelsea.... Ngolo kante anaweza asiwe kafanya vizuri sokoni ila returnings zake uwanjani ( deliverance) kila MTU anaona.... Hicho ndicho nikizungumzacho....

We Jamaa kama hujui sasa kuanzia Leo jua... Tangu united imeingia mkataba na adidas transfer market policies za Manchester utd zimebadilika mno... Deal ya pogba kwa zaidi ya asilimia 80 ilikuwa influenced na adidas kama unabisha sema nikupe sources .... Si kila mchezaji huja kwenye team kWa matakwa ya kocha... Ondoa huo ujinga...



Home
 
Lakini pia mnapojadili hilo mkumbuke na mkataba wa Adidas,unataka kusajiriwa wachezaji wenye majina makubwa ,timu kucheza uefa na km mnakubuka tusipocheza uefa wanapunguza asilimia 3% ya ufadhili wao .
Pia niseme tu kwamba neymar ni mchezaji ambaye anamchango mkubwa tu, mm pengo ninaloliona kwa sasa hatuna strike mwenye njaa ya magoal pamoja na beki wa kumuweka bechi smalling na katikati pogba anazindi kuimalika mm naamini kabisa msimu ujao pogba atakuwa poa sana
Najua kibiashara pia timu inahitaji watu kama hawao .
Kaka mou sio bwege kumpa nafasi daily smalling maana naamin huu ni msimu wake wa mwisho kuwa first eleven pale nyuma
Lazima asajili kitasa aiseeee msimu ujao
 
Back
Top Bottom