The Bodmas
JF-Expert Member
- Nov 21, 2016
- 405
- 401
Jamani Leo tuulizane ni kipi/au mikasa ipi uliyopitia katika Enzi za kuendelea kuwa shabiki wa damu wa man utd mm ni haya machache tu tililika na wewe
1.nilipingwa na kunyimwa msosi kisa nimeenda kuangaria mpira ...Man utd
2.kuna siku nilitumwa mafuta ya kupikia nikaenda kulipia hiyo hela mpira kisa tu chama linachenza
3.Nilipingana na shabiki madazi wa arsenal kisa kubishana ,kwenye kibada umiza
4.nimechan mikeka mingi tu kisa man utd kwa kumpa ushindi hata game ambayo sina uhakika w kushida...
1.nilipingwa na kunyimwa msosi kisa nimeenda kuangaria mpira ...Man utd
2.kuna siku nilitumwa mafuta ya kupikia nikaenda kulipia hiyo hela mpira kisa tu chama linachenza
3.Nilipingana na shabiki madazi wa arsenal kisa kubishana ,kwenye kibada umiza
4.nimechan mikeka mingi tu kisa man utd kwa kumpa ushindi hata game ambayo sina uhakika w kushida...