Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,913
- 10,263
Sio Rostov tu game against Bournemouth Rojo alifunga goliAlipanda sababu ya ya Rostov walikuwa wanazuia muda mwingi kuliko kushambulia ndio maana anapanda panda sana mpaka kutoa cross
Sio Rostov tu game against Bournemouth Rojo alifunga goliAlipanda sababu ya ya Rostov walikuwa wanazuia muda mwingi kuliko kushambulia ndio maana anapanda panda sana mpaka kutoa cross
Mwanzo nilifikiri ni ishu za racismAlikula ndizi kuongeza sukari>nguvu mwilini. Ni kawaida kuzuia cramp. Sometimes wanakula chocolate.
kocha au chizii......... unamsifia kw kombe gani hilo mpk samata anacheza.Yaani Mourhnio ni kocha siyo utani wachezaji Wengi viwango juu
Hiyo game sikuiona dahSio Rostov tu game against Bournemouth Rojo alifunga goli
Kwa EFL cup ambalo Hazard,Costa,Kante and co walicheza.kocha au chizii......... unamsifia kw kombe gani hilo mpk samata anacheza.
Cha ajabu wewe na timu yako hamchezi. Show respect to your country mate Samatta. [HASHTAG]#Respect[/HASHTAG]kocha au chizii......... unamsifia kw kombe gani hilo mpk samata anacheza.
Apo lazima mfe tatu.Anderlecht vs Man United
Wee bro utoboii ..mbele ya andalechii..Genk safari imewadia
Hatoboi hapo
Kapigwa 3 tayariKesho tushindwe wenyewe tu. Nafasi ya tano inatuita. Arsenal anachezea tu huko
Kurudisha hawezi tenaKapigwa 3 tayari