Alisina
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 4,275
- 4,607
Mpaka ajiuzulu mwenyewe Mimi ndio nataka.Akifeli atoke kama walivo toka wenzie
Lakini yupo Makini Jose atatuvusha, Japo kipindi cha nyuma shabiki wengi wa man united tulikuwa tunamkandia kwamba ni Mtu wa kupaki basi.