Nadhani utakua unapigia mstari maneno yangu, tatizo letu hatuangalii ni nafasi ngapi za wazi anakosa, tunaangalia tu madhali ndo mchezaji mwenye magoli mengi basi yeye ni bora, halafu wanakuja wanakuambia takwimu hazidanganyi![]()
according to this pic Zlatan ndo amekosa clear cut chances in EPL, nachelea kusema jamaa anaisaidia timu kwa 40% na anaicost kwa 60%
Hii mechi ni rahisi kiwango hiki!!? Cjaelewa bado!
Gemu saa ngapi wakuu?
Ni balaa mkuu mi nashangaa tu leo cjui mou kaamkaje au cjui anawaza nn but okey ngoja tusubir gameHii mechi ni rahisi kiwango hiki!!? Cjaelewa bado!
Naona kama ana malengo ya sare tu.. Sio ushindi!Hii mechi ni rahisi kiwango hiki!!? Cjaelewa bado!
Kuna kaukweli mkuu ndio kuna vizazi vizuri vya ufungaji boraHili game la Leo tutashinda mapema tu, pamoja na ubaya wa uwanja.
Namkumbuka sana Chicharito. Timu bila striker wa South America bado haijakamilika.