Inartia
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 1,284
- 1,305
Hilo lote ni swali moja tu, ni kwasababu timu zilikua na washamuliaji wengi na upungufu wa viungo, kwa kuwa rooney ni kiraka waliamua kumpanga yeye kama kiungo, kwa sasa viungo wapo wengi utd ila washambuliaji hakuna, sioni sababu ya kumieka benchi captain kwa kulichezesha lile zeeUkiulizwa maswali jitahidi kuyajibu,
1.Tutajie striker namba moja wa United na England tangu Ferguson amestaafu ?
2.Unafikiri kwa nini makocha wa England/United waliamua kumchezesha Rooney kama kiungo badala ya striker?