Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

FB_IMG_1487925615987.jpg
 
Klabu nyingi zikikaa na mchezaji miaka mingi anaposhuka kiwango klabu zinakuwa kwenye wakati mgumu sana kufanya maamuzi ukizingatia mchango alioutoa huko nyuma

Angalia case za Xavi+Alves Barcelona ,Raul na Casilas pale Madrid
Steven Gerrard pale Liverpool,
Lampard,Cech &JT Chelsea,Hart,Toure,Kompany & Aguero ManCity

Rooney alicheza sana akiwa na umri mdogo kama Owen umri kiwango kimeshuka ndio maana makocha wengi walikuwa wanajaribu kumchezesha namba tofauti kuona nafasi ipi itamfaa still imekuwa ngumu kupata namba kikosi cha kwanza kwenye timu kama Manchester United angekuwa timu ndogo angeweza pata namba kama anataka kuendelea kubaki Unitef lazima akubali kuanzia bench

Sidhani kama China kutamfaa amaweza kwenda US akacheza hata miaka 3 ndio astaafu
 
Sidhani kama China kutamfaa amaweza kwenda US akacheza hata miaka 3 ndio astaafu

Rooney now sidhani kama anahitaji kucheza mpira wa kushindana, afterall USA bado hawahesabiki kama wana mpira reliable
So if he is out of Eurpe aende china akatengeneze pesa kwa ajili ya kustaafu na kuendeleza life lake hapo baadaye
China is al gud for Wazza
 
Rooney now sidhani kama anahitaji kucheza mpira wa kushindana, afterall USA bado hawahesabiki kama wana mpira reliable
So if he is out of Eurpe aende china akatengeneze pesa kwa ajili ya kustaafu na kuendeleza life lake hapo baadaye
China is al gud for Wazza
Wachezaji wanaoenda China ni kutoka South America na Africa,so far ni wachezaji wangapi toka ulaya wameenda China?

Rooney ana familia (Wife +3 kids) sio rahisi wao kuhamia China na mazingira ya China sio friendly kwa watu toka ulaya.Mazingira ya US yanawafaa waingereza ndio maana Beckham,ACole,Defoe,Lampard na Gerrard wote ilikuwa rahisi kucheza MLS

Kumbuka pia Rooney still ni mmoja ya wachezaji wenye mishahara mikubwa kwenye EPL anaweza akakubali kumalizia mkataba wake na still akatengeneza fedha nzuri
 
Kitu kimoja ambacho kilimfanya Ferguson awe tofauti na makocha wengine kilikuwa ni kuuza wachezaji kwenye muda sahihi.

MOYES NA VAN GAAL

hapo ndipo walipochemkia kumpata namba 10 mbunifu ferguson wakat yupo mwishoni hakuwa mjinga kumtoa van persie arsenal alishaona nguvu ya rooney imekuwa ndogo.

aliacha ripot rooney auazwe moyes akaingia nae dil

angalieni kipigo cha wataford na manchester city rooney alipokuwa anapwaya wakat huo mhkitaryan anachezeshwa 7 hapo mou kampa zaid nafas rooney angalia sasa mkhitaryan karud namba 10 goli 9 assist 5 hilo vipi hakuna ambae hampendi rooney kwa mpira wa sasa ule wa kina sane lazima damu changa ihusike tu
 
Back
Top Bottom