Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hatuko vizuri sana upande wa kushambulia na hao warusi ni wazuri kwa kudefence ukiangalia na hali ya hewa ya urusi baridi kali sana, game ngumu kwetu
 
Kabla
2594502b59689e19e73f7dcf4b92d852.jpg

Baada
75c362ab48bced1cc0a4ec0b8c228c3f.jpg
 
Hatuko vizuri sana upande wa kushambulia na hao warusi ni wazuri kwa kudefence ukiangalia na hali ya hewa ya urusi baridi kali sana, game ngumu kwetu
Gemu ngumubkwetu bt safari inaanzia kwao....
 
Ila jaman kuna mkuu alisema hawa Rostov sio wakubeza na kwel duh wanakipiga sana nimeangalia mechi yao waliotokea nyuma nakushinda 3-2 against Bayern na atletico draw wako vizuri lakin wacha wabane wataachia tu ggmu
 
Back
Top Bottom