Minya naniliuuuuKhe khe kheeeeeeeeeee....ndo yale ya dua za kuku hazimpati mwewe au????????huyu Money vepeeeee

Sina naniliu ya kuminya mie...Minya naniliuuuu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Acha tu mmeku....tumemkaimisha mtu naona kakataa kwa kishindo...aaaand you are back to your mtaa!!!!
Ni timu mpya hiyo auKweli sisi ni Mansita United
Hapataki kabisaAcha tu mmeku....tumemkaimisha mtu naona kakataa kwa kishindo
Mwezi wa tatu tutatoka Liver Vs Arsenal watapinduana kisha tutakuwa juu ya yeyote hapoAlie iroga manchester ibaki nafasi ya 6 nahisi amashakufa maana hatutoki
Sina naniliu ya kuminya mie...![]()
una nini sasa!!!! Acha masihara unajua tutakuwa hatutoki sita kama hauminyi

![]()
![]()
una nini sasa!!!! Acha masihara unajua tutakuwa hatutoki sita kama hauminyi
![]()
![]()
![]()

Ahhhhh na wewe unagive up?? Embu minyeni naniliu tutoke banaa!!!Mwezi wa tatu tutatoka Liver Vs Arsenal watapinduana kisha tutakuwa juu ya yeyote hapo
Hahaaaaaaa nimecheka kwa sauti ujue![]()
![]()
una nini sasa!!!! Acha masihara unajua tutakuwa hatutoki sita kama hauminyi
![]()
![]()
![]()
mimi nina kipochi manyoya ebu ninong'oneze kinabinywaje
Ngumu sana kuminyika etiAhhhhh na wewe unagive up?? Embu minyeni naniliu tutoke banaa!!!
Hahaaaaaaa nimecheka kwa sauti ujuemimi nina kipochi manyoya ebu ninong'oneze kinabinywaje
![]()

Duhhhh!!! Hahahahaha Kweli umeamua kuwapa Liver ushindi yaani unakana hadi jinsia yako?mimi mwenyewe hapa na kipochi changu nimeminya wewe hutakiii!! Nitakuja kukuminya kwa nguvu sasa.... na wakifungwa Totenham wanaume wa humu mtakuwa mmeniangusha maana hii dawa very applicable for men ndo inaleta majibu mubasharaHahaaaaaaa nimecheka kwa sauti ujuemimi nina kipochi manyoya ebu ninong'oneze kinabinywaje
![]()
