DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,542
- 2,741
Nyakati zina changamoto zake mababu zetu hawakujua tarehe ila matukio kama mtoto alizaliwa wakati wa vita au njaa kama sio nzige. Sasa sijui miaka ijayo nasi tutawaambia wajukuu zetu kuwa baba zao walizaliwa wakati giggs anakikusanya kijiji cha mabeki wa arsenal na kufunga goli au hazard alipowakusanya mabeki wa arsenal na kufunga goli? wakati umebadilika nawaza tu jamani.
rubaman angalia alichoandika mheshimiwa huyu
Huyu mheshimiwa atakuwa ni mchochezi
