radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
aibu yao bado tano tu
Jaman tumeshnda ila bado nawaza tu kwann martial hizi mechi mbl tatu haanz?? Au kn nn?? Mana leo rashford super sub ckuona ya kuanza leo na kumuacha martial njee au kn bifu na mourhno??
ManShitty ni majirani zetu mji mmoja, tutakua hatulali wala kunywa maji, wakitufunga tu uwa wanasherekea wiki nzima sembuse ubingwa.Yaani kwa upande wangu bora hata man city, Chelsea siwakubali kabisa
aibu yao bado tano tu
Walikuwa wanamaanisha jumla na tayari leo ndokafunga goal lake la 20Hofu yangu kwahiyo combo ya herrera na pogba mpinzani akiwa mjanja tu ni rahisi kufungwa maana wote hao wakishapitwa ujanja amna zaidi ya kuvuta mashati tofauti na carrick akiwepo tunakuwa safe sana katika ulinzi maana yeye uwa asogei sana juu anachofanya nikuufanya mpira usogee tofauti na wakina pogba.I hope leo Jose amejifunza Mkhitaryan ni mzuri zaidi akicheza no 10 kuliko akicheza winga na leo ameprove hilo pia hakuna sababu yao kuwachezesha Pogba,Herrera na Carick kwa pamoja kwenye mechi ambazo tunahitaji ushindi
Sent from my NokiaX2DS using JamiiForums mobile app
Hii team iliniharibia siku....Asante sana Utd
Point 3 kibindoni
Next game against Watford
GGMU
Sasa mkuu huoni kwamba tutajiuliza mara mbili mbili kumpita Liverpool na kukaa mbele yao?! 🙂🙂🙂
1.Defence yetu msimu huu imetulia na kurudi kwa Baily defence iko OK,Baily mzuri sana kuzuia mashambulizi umemuona alivyokuwa anazuia na kukabaHofu yangu kwahiyo combo ya herrera na pogba mpinzani akiwa mjanja tu ni rahisi kufungwa maana wote hao wakishapitwa ujanja amna zaidi ya kuvuta mashati tofauti na carrick akiwepo tunakuwa safe sana katika ulinzi maana yeye uwa asogei sana juu anachofanya nikuufanya mpira usogee tofauti na wakina pogba.
Shukran nyingi kwako ndugu kwa kutupongeza weye ni tofauti na wale haters kazi yao kuomba dua mbaya mbaya tu.Hongereni wandugu dah afadhali mmeshinda leo maana Presure ilikuwa kubwa mno kwenu...sasa mgange yajayo
Pogba ni mzuri lakini yuko slow sana.Tunahitaji viungo design ya Mikhi,wenye kupiga chenga na wenye mbio,