Eqlypz
JF-Expert Member
- May 24, 2009
- 4,065
- 651
Mjomba hizo pass zenu si tumeona matokeo yake lol, hazileti ushindi.Hamjiamini.
Mjomba hizo pass zenu si tumeona matokeo yake lol, hazileti ushindi.Hamjiamini.
Kama alivyosema mfarisayo usipende kuchagua vibovu lolhuwa nawanga hadi leo mtu kanitolea uvivu eti niondoe kiwingu....siku za mechi ngumu hauko hapa leo umeona hawa mwaweza funga uko hapa.....hii timu ina bahati sana ilipaswa kuwa imefungwa tatu hadi sasa.....go go Schalke!:frusty:
Apa n OT au Ujeremani?
Tangu 2002 tunasikia "Manchester United in decline"... Kwa Arsenal ni kawaida yenu chenga nyingi magoli mengi lakini mnaambulia point moja. sie goli moja point tatu chenga chache.WTF....kwa Arsenal ile ni kawaida yetu....kwa MAN U inaonyesha kiwango kushuka...l.o.l.
Mjomba hizo pass zenu si tumeona matokeo yake lol, hazileti ushindi.
soon and very soon we are going to be happy
Hii ngoma kadri inavyoendelea kuwa 0-0 inawapa confidence, hawakawii kupaki basi na kutuvizia kwenye counter attack, ila tuache utani Manuel Neuer mzuri dah!! yani kilicho kati yetu na Wembley ni Neuer of course na performance yetu.this is not good aisee..these misses might haunt us...hawa jamaa ni wa kuchapa hata 2 za fasta...hizi kosakosa zinakua gundu...
Naam tupo!!..Maure tupe raha!! wanga wameshajaa mapema hii,lol..mnajijua eeh🙂)ha ha
Tangu 2002 tunasikia "Manchester United in decline"... Kwa Arsenal ni kawaida yenu chenga nyingi magoli mengi lakini mnaambulia point moja. sie goli moja point tatu chenga chache.