Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

I salute that goalkeeper........mshauri baba yako AW aache ubahili basi....achukue vijana wa ukweli

yaani MAN U leo wanachekesha.....em tusubiri hicho kipindi cha pili

Naona tukifungwa utafurahi sana aisee hahaha...lakini lazima tutoke na goli hata moja, timu yao sio nzuri sana au sio ya kutisha.....
 
I salute that goalkeeper........mshauri baba yako AW aache ubahili basi....achukue vijana wa ukweli

yaani MAN U leo wanachekesha.....em tusubiri hicho kipindi cha pili

Yule mzee mbahili utasema timu yake. Noma sanaaa, degree yake ya uchumi inamsumbua sana


Mavuti ya huyu kipa Wenger akitajiwa bei lazima atoke mbio, yeye kutwa anataka kununua gold kwa bei ya silver.
 
I salute that goalkeeper........mshauri baba yako AW aache ubahili basi....achukue vijana wa ukweliyaani MAN U leo wanachekesha.....em tusubiri hicho kipindi cha pili

Kalale mama...kesho siku kazi..sikukuu zimeisha ka hujui, shaur zako...chelewa kazn kesho uandikiwe kimemo.
 
Hana lolote huyu kipa anabahatisha tu, ka mnabisha subirini 2nd time.,
Check alichemka atakuwa huyu..., thubutuuuu, hawa ndo Mashetani tena wekundu...!!

Si ndio hapo mkuu...alitandikwa ceck ndio atakuwa huyu????second half inaanza tunapata goli......
 
1st half ilikuwa romance...

2nd half tunakula mzgo kilaaaini....
 
hili jamaa lililovaa sijui nini usoni linaona kweli au ndo namna yake ya kukaba? Chicharito tulia....l.o.l:smile-big:
 
Jamani nishaanza kupata sense ya de ja vu... Yani leo tunakosa magoli kama kwenye ile mechi dhidi ya Liverpool kwenye FA Cup semi final.
 
Kalale mama...kesho siku kazi..sikukuu zimeisha ka hujui, shaur zako...chelewa kazn kesho uandikiwe kimemo.

nashukuru kwa ushauri mzuri sana.....nasubiri mfunge walau moja nikalale...:noidea:
 
<p>

Karibu first lady wetu wa ukwel...nakwambia kuna shosti anaitwa Michelle kaomba lift na honi anataka kupiga...apa yupo kubadili CD kwa gar....wa wap hyu?, njoo umsute mama...

Thanks my dear, pamoja kama kawaida na maure!!..namuona Michelle na wafuasi wake, yani tukifungwa tu naona hawatang'atuka wiki nzima kwenye thread yetu tukufu!!..Leo ama zake ama zangu🙂))
Yani lifti tu kashajinafasi kweli binti matata huyo, hebu mshushe njiani!! ha ha
 
Wakuu vipi hapa nani anafungwa? khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom