Ahaa ahaaWembley ileeeeeeeeee...!
akufukuzaye hakuambii toka....sina mume jamani.....nafurahia uhuru wangu hadi hapo....sikujua nakukera hivi? bado nipo nipo sana MandaMichelle...
Huna nguo za husband za kunyoosha?, zako je?, mtt umempikia uji?, pampas umembadil?, nguo zake safi?, umetinda nyusi?, seti nywele?, andaa nguo za SHEM za kesho?, watt je?
uji anao?,amekula umedeki..?..kalale bana upunguze kiwingi apa....
sitakukoma labda uhame JF....tuko pamoja!:smile-big:Michelle
Good to see ya as well..ila sinaga mazoea na ww...nkome mwana wa mwenzio...LMAO!
Naona una wanga lol
sure, he is the best replacement of Van der (sir)
WTF....kwa Arsenal ile ni kawaida yetu....kwa MAN U inaonyesha kiwango kushuka...l.o.l.Ebo hizi pass kama Arsenal wtf?
siku zote huwa unachagua vibovu
Uganga wangu naona unafanya kazi manake hizi nafasi alizokosa Chicharito so far sio kawaida kabisa.
Ebo hizi pass kama Arsenal wtf?