Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Mfarisayo naona ushafika jukwaani mapema sijui wewe ndio umetumwa kuja kufukia tunguli leo hapa na mkuu Manda ha ha ha.
BJ yeye anapenda kujificha mpaka mwisho mwisho sijui ana ugonjwa wa presha lol. Eqylpz atabiriki na Belo toka awe na avatar yake ya Webb hana wasi wasi na matokeo anajua yapo mikononi mwa refa.
BJ yeye anapenda kujificha mpaka mwisho mwisho sijui ana ugonjwa wa presha lol. Eqylpz atabiriki na Belo toka awe na avatar yake ya Webb hana wasi wasi na matokeo anajua yapo mikononi mwa refa.