radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Hongera
Shukrani mkuu
Hongera
In fact msimu mzima marefa wanachemsha sana. Magoli ya offside wanaruhusu, wanakataa magoli ambayo sio offside, penati wanakataa ambazo ni penati wanakubali ambazo sizo. Yaani ni balaa, sasa mashabiki uchwara ndio wanakuja kusema timu fulani inabebwa kumbe ni incompetence ya marefa tu.Hii weekend marefa wamechemsha sana aisee..hope something will be done about it
Poleni sana NDUGU zangu RRONDO na Nzi na wengineo wengi
Mwaka wa 4 huu sasa unakatika na nyie mnaanza kutuletea mambo ya historia ehehehe
Nadhani kuchukua tena EPL nyie "nialu amele logele"
au hadi "kajamba amele embembe"
Majogoo yanakuwa mabingwa mwaka huu,msitishike na Chelsea sababu mm nampiga easy
Pia hawezi toka kwa Arsenal lkn kwenu nyie mhhh!
Mimi nimepata point moja. Wewe uliepata kichapo ndio unahitaji pole.Poleni sana NDUGU zangu RRONDO na Nzi na wengineo wengi
Mwaka wa 4 huu sasa unakatika na nyie mnaanza kutuletea mambo ya historia ehehehe
Nadhani kuchukua tena EPL nyie "nialu amele logele"
au hadi "kajamba amele embembe"
Majogoo yanakuwa mabingwa mwaka huu,msitishike na Chelsea sababu mm nampiga easy
Pia hawezi toka kwa Arsenal lkn kwenu nyie mhhh!
Tulipigwa tano. Na leicester refa alikua huyuhuyuHahhahah...usiwakumbushe mkuu wnaugulia sindano tatu safi
Kwaio wanasikilizia maumivu
kuna mahal nilikua jamaa wanaume wazima wanashangilia wakajua tushafungwa na mpira unaisha..wanakata miuno
watu tumekaa kimya tu ....rooney alipoweka mpira akaonyesha kaishara flan kwa ibra kadabra ...kitu kikanyooshwa....wavuni!!
Ila nasikia refa aliyechezesha haipendi man u na hampend morinho
Refa huyu huwa anatuhujumu sana ila na sisi tumezidi kupoteza nafasi za waziTulipigwa tano. Na leicester refa alikua huyuhuyu
naomba unipe mimi fungu la 10.Mentor pamoja na marefa kuvulunda nashukuru kiuchumi nimepiga pesa ndefu tu lak tatu na 40 na chelsea akiwemo safiView attachment 462898
naomba unipe mimi fungu la 10.
hakika nae Mungu atakuzidishia ulichotoa.hahhhahh sister lazima nikupe hiyo chek ngoja niiwakilishe usijali
hakika nae Mungu atakuzidishia ulichotoa.
yule lefa aliiua sana unitedwasikupe shida hao waathirika wa manchester united anaangalia stoke ashinde hajui refa kanyima penat mbili analilia dakika tu hajui kuwa dakika 6 ni chache sio sawa na 90 kama umeweza kulinda goli dakika 90 unashindwaje dakika 4? mbon swansea kalinda goli zake ndani ya dakika 6 za liver? tena nyumban kwa liver stoke yupo kwake
Huyu refa mechi nyingi huwa anaharibu sana, Alan kalisema hili jana tuTulipigwa tano. Na leicester refa alikua huyuhuyu
at end of the day rooney kavunja record...at the end of the day 3 points tumeondoka nazo
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()