Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

I wonder what will Arsenal fans say when they got a penalty from offside position. When United got goal from offside, they like pointing it. Now, what will you say? LOL



Toka mbele hiyo goli la mik ilikuwa shida
Pana msemo unasema chongo kwa mtwana kwa bwana kengeza
 
Dooh nawaangalia hawa Hull city wanavyocheza na Chelsea nahisi mechi yetu ya marudiano kule kwao itakuwa ngumu sana
Kweli jamaa kama wameamka toka usingizini kuanzia ile game yetu ya OT game itakuwa tough JM inabidi aichukulie serious sana kuliko ya Wigan
 
Dooh nawaangalia hawa Hull city wanavyocheza na Chelsea nahisi mechi yetu ya marudiano kule kwao itakuwa ngumu sana
Mkuu westham walitukamia sana hadi tukatoka nao draw OT lakini walivyokutana na Arsenal walipigwa tano bila.
 
Kwahiyo hiki ndicho mnachojisifia nacho sasa hivi?

Sio tunajisifu nacho kama waujua vizur mpira kuna takwimu za kila timu ndo mana kuna anaeongoza kwa magoli,anetoa assist anae piga pasi nyingi umiliki wa timu ki mpira hayo yote yanaangaliwa ktk soka sio point tu ni timu ipi imefungwa goli nyingi au wamefungwa goli chache vyote hivyo huufanya mchezo wa soka kuwa bora
 
Hakuna makosa hapo alivunja ofsaidi
IMG-20170122-WA0002.jpg



Imevunjwa kweli
 
...at the end of the day 3 points tumeondoka nazo



niffah aseno hata apate point kumi huwa hana madhara kuna timu zikikuongoza kwa idadi hiyo ujue umeumia mfano chelsea na manchester united wakifanikiwa kukuongoza kuwatoa juu ukatambike mwez wa nne aseno taanza kupigania nafas ya nne nakuhakikishia
 
Back
Top Bottom