Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Licha ya kuwa bado tupo nafasi ya 6 lakini tumepunguza pengo la point na timu zilizo mbele yetu

Chelsea-Bado pengo limebaki point 13 ,Chelsea wameshinda mechi zote 5
Liverpool-Tumepunguza pengo kutoka pointi 9 hadi pointi 7
Tottenham-Tumepunguza toka point 6 hadi pointi 3
Man City-Tumepunguza toka point 9 hadi pointi 3
Arsenal-Tumepongeza kutoka pointi 10 hadi pointi 1 (Arsenal wanacheza now wakishinda pengo litabaki pointi 4)

Timu iliyopo nafasi ya 10 tulikuwa tumeizidi pointi 3 now tumeizidi pointi 12

Update baada ya mechi 20

Chelsea-Gap limebaki pointi 10
Liverpool-Gap limebaki pointi 5
Tottenham-Gap limebaki pointi 3
Man City-Gap limebaki pointi 3
Arsenal-Gap limebaki pointi 2

Timu iliyopo nafasi ya 10 tulikuwa tumeizidi pointi 3 now tumeizidi pointi 15
EPL20.png
 
Update baada ya mechi 20

Chelsea-Gap limebaki pointi 10
Liverpool-Gap limebaki pointi 5
Tottenham-Gap limebaki pointi 3
Man City-Gap limebaki pointi 3
Arsenal-Gap limebaki pointi 2

Timu iliyopo nafasi ya 10 tulikuwa tumeizidi pointi 3 now tumeizidi pointi 15
View attachment 454560

Maajabu ya nafasi ya sita. Wanasema hatujongei hata tushinde magoli mia, ila hawajui kuwa wao ndio wanajongea kushuka chini lakini, wakija kushtuka wameshatupita badala ya sisi kuwapita wao.
 
Happy new year wapendwa wangu wote!!!,nawapenda sanaaaaa, nimewamiss ile mbaya yaani hongereni sana kwa matokeo mazuri yaani nilikuwa nainjoi sana, mdogo mdogo tutafikaaaaa....nilikuwa likizo, nilikuwa nawatamani sana niburudike nanyi ila mtandao ndo ulinitesa..... all the best Man U.....GGMU
 
Happy new year wapendwa wangu wote!!!,nawapenda sanaaaaa, nimewamiss ile mbaya yaani hongereni sana kwa matokeo mazuri yaani nilikuwa nainjoi sana, mdogo mdogo tutafikaaaaa....nilikuwa likizo, nilikuwa nawatamani sana niburudike nanyi ila mtandao ndo ulinitesa..... all the best Man U.....GGMU

Na wewe pia mkuu,ndio umetoka Moshi au wapi uko?
 
h
Happy new year wapendwa wangu wote!!!,nawapenda sanaaaaa, nimewamiss ile mbaya yaani hongereni sana kwa matokeo mazuri yaani nilikuwa nainjoi sana, mdogo mdogo tutafikaaaaa....nilikuwa likizo, nilikuwa nawatamani sana niburudike nanyi ila mtandao ndo ulinitesa..... all the best Man U.....GGMU
happy new year to you too, vipi ulienda kuhesabiwa nini mana si kwa kupotea uko. ila karibu tena jukwaani.
 
Back
Top Bottom