Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

h

happy new year to you too, vipi ulienda kuhesabiwa nini mana si kwa kupotea uko. ila karibu tena jukwaani.
Asante mumy nimekaribia kwa nguvu zote sasa....pole kwa kuwa mpweke ila naamini as a dada ulivumisha vizuri kigelegele humu.
 
Wazima nyumbani? Nilitingwa na majukumu nikashindwa kwenda kujumuika na ndugu.
Huko wako bomba kabisa tunashukuru Mungu sikukuu zote zimeenda fresh,ni mvua tu imekataa msimu huu ila siyo mbaya sana hata kwa kidogo Mungu anasaidia....jitahidi tukiwa wazima mwaka huu uende si unajua tena wazazi wanafurahi sana,nipeni story zinazojiri humu maana nilikuwa nje ya ulimwengu wa soka kabisa.
 
Huko wako bomba kabisa tunashukuru Mungu sikukuu zote zimeenda fresh,ni mvua tu imekataa msimu huu ila siyo mbaya sana hata kwa kidogo Mungu anasaidia....jitahidi tukiwa wazima mwaka huu uende si unajua tena wazazi wanafurahi sana,nipeni story zinazojiri humu maana nilikuwa nje ya ulimwengu wa soka kabisa.

Nitaenda kuwasalimia. Uzi umetulia kwa sasa,tumeamia kwenye uzi wa Chelsea kwa muda. Msiba hauna mualiko.
 
Screenshot_2017-01-05-19-49-40-1.png
 
Happy new year wapendwa wangu wote!!!,nawapenda sanaaaaa, nimewamiss ile mbaya yaani hongereni sana kwa matokeo mazuri yaani nilikuwa nainjoi sana, mdogo mdogo tutafikaaaaa....nilikuwa likizo, nilikuwa nawatamani sana niburudike nanyi ila mtandao ndo ulinitesa..... all the best Man U.....GGMU

Karibu sana mama la mama, ndo maana nilikuwa nashangaa mbona kama kuna flavor humu ndani imepungua, kumbe ulikuwa Mpalatwa
 
Back
Top Bottom