Inartia
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 1,284
- 1,305
Hahahaha mzee wenga naona anakata tawi alilokalia
Hahahaha mzee wenga naona anakata tawi alilokalia
Ndo nlichoongea mchana ule.
Adui mwombee njaaHalf time, Totenham 1 Vs 0 Chelsea
Mashabiki wa arsenal wanajifahamu na wenger wao.Ila kwahakia msimu huu lazima Arsenal wamalize chini ya nafasi ya nne mashabiki wa Arsenal akili ziwakae sawa na huyu babu yao..!!!
Akili zikefika mwisho, Anawabembeleza kwa Big g ikifika tu dic wanaanza kulia upya baada ya utamu kukata...!!
mkuu nimekukubali na nakubali sana mchango wako kwenye thread hii ya wana man u big up kwa utabirigame ya leo Tot atampiga chelsea kutokana form nzuri waliyokua nayo kwenye mechi 3 zilizopita ambapo Harry Kane na Delle Alli wamewanyanyasa ipasavyo wapinzani.Kwahiyo Chelsea leo asipokua makini anafungwa pale White hate lane hii itafufua matumaini yetu ya kuchukua ubingwa kwa mara nyingine toka mwaka 2013..God bless Man u
Andika the Chelsea special threadMwenye kuujua Uzi wa Chelsea humu ndani aniwekee hapa nione wanachojadili recently
Mbio za ubingwa zipo ndani ya uwezo wetu now, Chelsea next game anapiga na Leicester then Loosefool then Asernal, hapo lazima akamatwe
Exactly mkuuLigi bado mbichi sana.
Totenham tutawakamata tu, as a matter of timeUshindi wa Toti ni mwiba mkali sana kwa man u ...najua wengi mnajua iloo