Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Najua. Ila mimi naongelea malengo ya mwisho wa msimu.

Lengo langu ni kupunguza tofauti ya points zetu na yule wa kwanza.

Bado nina ndoto za ubingwa.

Tottenham hatunyimi usingizi, atarudi nafasi yake muda si mrefu.

Na tunaweza kufika nafasi ya 3 ndani ya mechi 2.

Man City mwenyewe hayupo vizuri achilia mbali vilaza Arsenal.

Nimekuwa nikiwaambia watu itakuwa advantage kubwa sana Chelsea akupigwa na Tots, haijalishi Tots watatuacha point ngapi, cha msingi ni kuwa kati yetu na aliyeko nafasi ya nne na tano itakuwa 3pts na 2pts respectively, na 5pts toka nafasi ya pili. Hivyo kwa sasa ingekuwa nzuri zaidi tukianza kumfukuzia kimya kimya Yule Wa juu. Mimi bado naamini Chelsea anaweza kuteleza na asiwe bingwa. So tunachopasqa kufanya ni kuwa pale karibu ili anapoteleza sisi tunashtua kijoti joti.
 
Najua. Ila mimi naongelea malengo ya mwisho wa msimu.

Lengo langu ni kupunguza tofauti ya points zetu na yule wa kwanza.

Bado nina ndoto za ubingwa.

Tottenham hatunyimi usingizi, atarudi nafasi yake muda si mrefu.

Na tunaweza kufika nafasi ya 3 ndani ya mechi 2.

Man City mwenyewe hayupo vizuri achilia mbali vilaza Arsenal.
Mkuu mawazo yako ndo mawazo yangu
 
game ya leo Tot atampiga chelsea kutokana form nzuri waliyokua nayo kwenye mechi 3 zilizopita ambapo Harry Kane na Delle Alli wamewanyanyasa ipasavyo wapinzani.Kwahiyo Chelsea leo asipokua makini anafungwa pale White hate lane hii itafufua matumaini yetu ya kuchukua ubingwa kwa mara nyingine toka mwaka 2013..God bless Man u
 
Nimekuwa nikiwaambia watu itakuwa advantage kubwa sana Chelsea akupigwa na Tots, haijalishi Tots watatuacha point ngapi, cha msingi ni kuwa kati yetu na aliyeko nafasi ya nne na tano itakuwa 3pts na 2pts respectively, na 5pts toka nafasi ya pili. Hivyo kwa sasa ingekuwa nzuri zaidi tukianza kumfukuzia kimya kimya Yule Wa juu. Mimi bado naamini Chelsea anaweza kuteleza na asiwe bingwa. So tunachopasqa kufanya ni kuwa pale karibu ili anapoteleza sisi tunashtua kijoti joti.
Well said bro.
Bado tuna nafasi kubwa sana ya kuchukua ubingwa. Cha muhimu hakuna kudondosha point hata moja. Kila mechi iwe vita.
Bora tufungwe mechi za FA au Europa ila EPL iwe ndo lengo la kwanza kabisa.
Tuboreshe beki na kunoa washambuliaji, pale kati papo fresh kabisa.
 
Ndiyo...nami ningependa kuona Rent Boys akifungwa na hawa Spuds...kama tuki-maintain hii winning consistence, why not think of ubingwa?
[HASHTAG]#yeswecan[/HASHTAG]
Sure. Ukiangalia mechi zilizobaki na point tulizotofautiana na hao Chelsea naona kabisa tupo kwenye nafasi nzuri ukichukulia udhaifu wa wapinzani wetu wakubwa ambao ni Man City, Chelsea na Liverpool.
Sasa tuna points 39 na zimebaki mechi 18 ambazo zina points 54. Kati ya hizo tukichukua 45 (mechi 15 tushinde) tunafikisha points 84 mwisho wa msimu. Ambao vyovyote vile kama sio mabingwa basi nafasi ya pili (ikitokea tumemshindwa chelsea).
Hata point tukifikisha point 80 sio mbaya.
[HASHTAG]#YesWeCan[/HASHTAG]
 
IMG-20170104-WA0037.jpg
 
Kuna uwezekano chelsea anachukua ubingwa ila ushindi wa Tottenham utatuongezea nafasi kubwa ya kuchukua ubingwa.

Chelsea akifungwa tunabaki na tofauti ya point 10. Tukikutana nao na tukawafunga tutabaki na tofauti ya point 7.

Kuna points kama 54 (18 matches zilizobaki) za kushindania, na ukiangalia consistency tulio nayo, najipa matumaini kabisa kuwa kuna uwezekano wa kuchukua ubingwa.

Lengo kubwa tujiwekee ni kuwafunga walio juu yetu.
Kiukweli Tot anatakiwa ashinde gam ya leo na naamini atashinda. Chelsea akipoteza leo tutabaki tunafukuza 10 na atakuwa ametiwa gundu pia.
 
Sure. Ukiangalia mechi zilizobaki na point tulizotofautiana na hao Chelsea naona kabisa tupo kwenye nafasi nzuri ukichukulia udhaifu wa wapinzani wetu wakubwa ambao ni Man City, Chelsea na Liverpool.
Sasa tuna points 39 na zimebaki mechi 18 ambazo zina points 54. Kati ya hizo tukichukua 45 (mechi 15 tushinde) tunafikisha points 84 mwisho wa msimu. Ambao vyovyote vile kama sio mabingwa basi nafasi ya pili (ikitokea tumemshindwa chelsea).
Hata point tukifikisha point 80 sio mbaya.
[HASHTAG]#YesWeCan[/HASHTAG]
Chelsea haina udhaifu wowote.... Ongelea hao wengine lkn si chelsea
 

Picha moja ila inaelezea falsafa moja ya ukweli, na kila kitu ni ukweli mtupu.

Mourinho lengo lake ni kuwashusha wote kwa pamoja, na ndicho kitakachotokea, wanatubeza nafasi ya 6 hatutoki ila tunawacompile wote pamoja kwa kupunguza tofauti ya points na waliotutangulia.
Mnaota nyie......

Mkuu hata hatuoti, ila tupo kilingeni tunakuombeeni njaa, ni kama huyu jamaa
 
Picha moja ila inaelezea falsafa moja ya ukweli, na kila kitu ni ukweli mtupu.

Mourinho lengo lake ni kuwashusha wote kwa pamoja, na ndicho kitakachotokea, wanatubeza nafasi ya 6 hatutoki ila tunawacompile wote pamoja kwa kupunguza tofauti ya points na waliotutangulia.


Mkuu hata hatuoti, ila tupo kilingeni tunakuombeeni njaa, ni kama huyu jamaa

Teh Teh Teh Teh...

Dua za kuku....
 
Hahahahhhh uwiiiiiii...!!!!

Nimecheka jamani daaaah, hebu angalieni tawi analokata wenga....!!!! Halafu angalia hasira za Mou,.... Hajali anadondosha wangapi, ye anakata tu shina lote .... hhhhhhhhhhh

Usiku wangu umekuwa mzuri sana , bravo Bavaria
Ndo nlichoongea mchana ule.
 
Back
Top Bottom