Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu umewaza kama mimi kuhusu combo ya mata na mikhi. Tatizo sie hatuchezi mpira wa kushambulia kwa kumiliki mpira,na ukilitaka hilo mikhi,mata na herrera wanafaa kwenye mfumo. Lakini mou anaweka winga kwa ajili ya kukaba zaidi,na mbaya zaidi hata kwa timu ndogo na mbovu,mbinu haibadiliki. Binafsi naona pogba namba kumi haimpendeza kuliko wazza,mata na mikhi.
Jamaa wanajua SANA
 
Huyu ndugu yetu ye anaenda wapi mbona anatiririka tu
a3417bbcad062be438c378218d3875e6.jpg

744c7cc4ac9a1480c3d5f3fbff14dbdf.jpg

Yaan ushindi wa leo wa tot kwa Arsenal umekuwa tamu chungu.

Ila pia tot wameshinda mechi 5 mfululizo now they are on fire
 
Mpk muimarikee mtakuwa mmeachwa mbali sana.
Mkuu nani anatuacha wakati nyie wote mnatusubiri kwa sasa.
Gap ni
10 points kutoka kwa chelsea
5 points kutoka kwa liverpool
3 points kutoka kwa spurs na city
2 points kutoka kwa arsenal.

Sasa fikiria tulikotoka, yunawakuta hapo mlipo mapema mno
 
Mkuu nani anatuacha wakati nyie wote mnatusubiri kwa sasa.
Gap ni
10 points kutoka kwa chelsea
5 points kutoka kwa liverpool
3 points kutoka kwa spurs na city
2 points kutoka kwa arsenal.

Sasa fikiria tulikotoka, yunawakuta hapo mlipo mapema mno
Kile ambacho unakiwaza wewe kuhusu kushinda na ndo sisi ambacho tunakiwaza. Kwa hiyo itakuwa ngumu sana kutoka apo ulipo mkuu.
 
Mkuu nani anatuacha wakati nyie wote mnatusubiri kwa sasa.
Gap ni
10 points kutoka kwa chelsea
5 points kutoka kwa liverpool
3 points kutoka kwa spurs na city
2 points kutoka kwa arsenal.

Sasa fikiria tulikotoka, yunawakuta hapo mlipo mapema mno
Mechi ya liver ni muhimu sana kupata 3 points,ili kuendeleza hesabu
 
Back
Top Bottom