Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Mkuu hebu nifahamishe kidogo kuhusu Rooney..anashida gani??
Majeruhi.
Mkuu hebu nifahamishe kidogo kuhusu Rooney..anashida gani??
Rooney ni majeruhiMkuu hebu nifahamishe kidogo kuhusu Rooney..anashida gani??
In ur dream n I won't wake u upHope tutamaliza top4, so next season tutakua na mashindano mengi include UCL so Griezman ni muhimu akija asaidiane na Cadabra pale mbele, Rashfod naye atapata minutes za kucheza nyingi tu, kumbuka kuna injury
Jiunge na FaI had the same dought... FA???
Mechi sa ngapi wadau
Rooney ni majeruhi
Akipona acheze FA na EFL pekee, EPL awaache walio kwenye form watusogeze angalau msimu ujao tucheze CL.

Tukishinda mechi y Leo pressure inakuwa kwa walio juu!
Tushinde game ya leo.
Spurs ampunguze Chelsea, hapo tofauti itabaki points 10.
Halafu tuombe tusiwe na majeruhi hadi jan 15 tutakapokutana na Liverpool.








Tushinde game ya leo.
Spurs ampunguze Chelsea, hapo tofauti itabaki points 10.
msemakweli ni dakika 90 kuanzia saa 2.15 usiku leo.
![]()
United ni timu ya kupigania ubingwa miaka yote sio wasindikizaji kama nyieKumbe Na Nyinyi Munawaza Ubingwa 2017???
To be Honest Mwaka Huu Bahati Ya Ubingwa ipo Kwa Cheslea..
Napata mashaka juu ya spurs hapa hakuna mchezo mchafu kweli???
Kucheza mwanzo ni advantage. Ukicheza baada ya mwenzio unakuwa under pressure. Hakuna mchezo mchafu hapo msiwe na mawazo kama wapinzani wetu ambao mpaka leo wanaamini Man utd ilikuwa inabebwa.Napata mashaka juu ya spurs hapa hakuna mchezo mchafu kweli???
Sawa mkuu prondo nmekuelewaKucheza mwanzo ni advantage. Ukicheza baada ya mwenzio unakuwa under pressure. Hakuna mchezo mchafu hapo msiwe na mawazo kama wapinzani wetu ambao mpaka leo wanaamini Man utd ilikuwa inabebwa.
Yani Spurs ampunguze chelsea nyie mnaota??Tushinde game ya leo.
Spurs ampunguze Chelsea, hapo tofauti itabaki points 10.
Halafu tuombe tusiwe na majeruhi hadi jan 15 tutakapokutana na Liverpool.