Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Noo, sikuwa na maana ya kumtegemea Rashford, ukisoma kwenye hyo article inasema mou anaweza aka bid kwenye majira ya joto wakati huo huo zlatan anaongeza mkataba wa mwaka mmoja it means bado tutakua na zlatan + Rashford as our strikers, ikitokea zlatan akaondoka sitakua na tatzo na usajili wa griz but kwa sasa mi sioni umuhimu wa huyu jamaa kwetu.
Hope tutamaliza top4, so next season tutakua na mashindano mengi include UCL so Griezman ni muhimu akija asaidiane na Cadabra pale mbele, Rashfod naye atapata minutes za kucheza nyingi tu, kumbuka kuna injury
 
Smalling asipoangalia huenda huu ukawa msimu wake wa mwisho kuchezea United,Mourinho alitaka kusajili CB (Fonte,Lindelof) lakini viwango vilivyoonyeshwa na Jones & Rojo vimefanya aachane na huo mpango hadi mwisho wa msimu.Iko wazi kuwa mwisho wa msimu Mourinho atasajili CB na RB na wachezaji watakaondoka ni (Depay,Schneiderlin hawa wanaondoka hii January Bastian,Darmian,Young hawa wataondoka mwisho wa msimu ningependa Rooney naye aondoke msimu ujao .Ibrahimovic,Carrick watakuwepo msimu ujao
Rooney haondok atastafia OT
 
Licha ya kuwa bado tupo nafasi ya 6 lakini tumepunguza pengo la point na timu zilizo mbele yetu

Chelsea-Bado pengo limebaki point 13 ,Chelsea wameshinda mechi zote 5
Liverpool-Tumepunguza pengo kutoka pointi 9 hadi pointi 7
Tottenham-Tumepunguza toka point 6 hadi pointi 3
Man City-Tumepunguza toka point 9 hadi pointi 3
Arsenal-Tumepongeza kutoka pointi 10 hadi pointi 1 (Arsenal wanacheza now wakishinda pengo litabaki pointi 4)

Timu iliyopo nafasi ya 10 tulikuwa tumeizidi pointi 3 now tumeizidi pointi 12
Tutafika tu
 
Screenshot_2017-01-02-08-07-12.png
 
Rooney haondok atastafia OT
Hakuna guarantee ya Rooney kustaafu OT bado ana miaka kama 3/4 ya kucheza kwa sasa hawezi kuwa kikosi cha kwanza so inategemea kama ataendelea kukubali kukaa benchi na pia atakuwa na pressure kutoka timu nyingine hasa MLS & CHINA(hawezi kwenda)
 
Match ya leo Carrick kuna possibility ya kuwepo kwenye kikosi kitachoanza?

Kikosi kilichoenda London.

*Confirmed United squad members*

De Gea

Romero

Johnstone

Fosu-Mensah

Valencia

Darmian

Smalling

Jones

Rojo

Herrera

Carrick

Pogba

Fellaini

Young

Mata

Lingard

Mkhitaryan

Martial

Ibrahimovic

Rashford
 
Kikosi kilichoenda London.

*Confirmed United squad members*

De Gea

Romero

Johnstone

Fosu-Mensah

Valencia

Darmian

Smalling

Jones

Rojo

Herrera

Carrick

Pogba

Fellaini

Young

Mata

Lingard

Mkhitaryan

Martial

Ibrahimovic

Rashford
I wish Carrick aanze leo, kwa sasa hatutakiwi kushindwa wala kutoa sare.
 
Kikosi kilichoenda London.

*Confirmed United squad members*

De Gea

Romero

Johnstone

Fosu-Mensah

Valencia

Darmian

Smalling

Jones

Rojo

Herrera

Carrick

Pogba

Fellaini

Young

Mata

Lingard

Mkhitaryan

Martial

Ibrahimovic

Rashford
Mkuu hebu nifahamishe kidogo kuhusu Rooney..anashida gani??
 
Back
Top Bottom