Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sidhani kama unamfahamu Mourinho vizuri mfumo anaotumia na wachezaji anaowapenda


1.Huwa anapenda kuwa na one powerfull striker (Drogba,Etoo,Benzema,Costa -Zlatan) na anapenda CB wenye umbo kubwa (JT-Carvalho,Lucio-Samuel-Materazi,Pepe-Ramos-Carvalho,JT-Cahill-Zouma)

3.Siku zote fullback(Marcelo-Arbeloa,Maicon-Zanetti,Ivanovic-Azpi) na winger ambao wanakaba(Duff-Roben-Cole-,Zanetti-Muntari,Di Maria,Wilian-Hazard) ndio inakuwa silaha yake kwenye ushambuliaji.Mata na Martial wameweza ku-adapt kucheza anavyotaka

4.Jose alivyotua Chelsea mara ya pili tayari alirudi kwenye timu anayoijua na baadhi ya wachezaji anawajua/wanamjua so yeye kutengeneza first eleven ilikuwa rahisi.Chelsea aliwakuta Cech-Ivanovic-Cole-Cahill-Zouma-JT-Azpi-Ramirez-Lampard-Hazard-Oscar-Mikel-Ba akawasajili Cesc,Matic,Costa na hawa wote waliingia kikosi cha kwanza na walikuwa among key players Chelsea ilivyochukua ubingwa


Mourinho -Manchester United
Most players aliowakuta wengi hawafit kwenye mfumo wake ingawa sio wachezaji wabaya nafikiri umeona Depay,Bastian Darmian,Morgan,Rojo,baadhi wameweza ku-adapt mfumo wake (Valencia,Herrera,Mata na Martial kama umemuona last 3 games).Cha kwanza alisajili wachezaji ambao wanafit kwenye mfumo wake Ibra,Pogba,Mikhi na Bailly


Hakuna alisema Mourinho hakuna anachokosea ,Nini Mourinho anakosea-anapaswa kufanyia kazi haya

1.Ametengeneza mfumo unaomfanya Ibra tu ndio afunge magoli so akikabwa/asipocheza United wanastrugle kufunga magoli,timu inapaswa kutengeneza nafasi kwa wachezaji wengi mmoja akibanwa mwingine anafunga.Liverpool/Arsenal wanafaidika sana kwenye hilo,anaweza kujaribu kutumia 4-4-2 wacheze Ibra-Rashford au 4-3-3 Ambao itabidi winger wawe wanamsaidia Ibra hata game ya Everton second half Ibra alikuwa isolated peke yake mbele sometimes akawa anarudi katikati kutafuta mpira

2.Fullback ni silaha kubwa kwenye mfumo wake kwenye kushambulia last season Ivanovic alikuwa chini ya kiwango Chelsea ilipata tabu sana.United inamtegemea Valencia tu/upande wa kulia kwenye kushambulia so akibanwa nae timu inastrugle Timu inashindwa kabisa kushambulia upande wa kushoto Darmian ni liabilty kushambulia.Blind/Young ni option nzuri kwenye kushambulia kuliko Darmian

3.Moja ya kosa analofanya ni kumchezesha Rashford winga,akicheza pembeni anakuwa liability kwenye timu sababu muda mwingi anatakiwa arudi kumsaidia fullback na hiyo kazi hawezi.Mata/Martial/Mikhi,Lingard na Rooney hawa ndio awachezeshe pembeni
Belo umeongea vitu vya msingi sn ktk post hii ndio maana Mimi hoja yangu ya matatizo ya Utd inasimamia kwa wachezaji Na si kocha.

Watu hawamuelewi Jose vzr ndio maana wanakuja kujaribu kumshambulia yeye moja kwa moja huku wakiacha tatizo kubwa la wachezaji wenyewe.

Mjadala unakua mreefu wakati swala liko wazi tu
 
Belo umeongea vitu vya msingi sn ktk post hii ndio maana Mimi hoja yangu ya matatizo ya Utd inasimamia kwa wachezaji Na si kocha.

Watu hawamuelewi Jose vzr ndio maana wanakuja kujaribu kumshambulia yeye moja kwa moja huku wakiacha tatizo kubwa la wachezaji wenyewe.

Mjadala unakua mreefu wakati swala liko wazi tu

Wachezaji gani tatizo....??
 
Mkuu, naona umeongea mengi yenye tija, tukubali au tukatae lawama nyingi ni za kocha.....timu aliyoiacha mou pale Chelsea na hii ya Conte ina tofauti gani. Tatizo la Mou na LVG wote ni wabishi " it's his way or no way attitude" timu kama Man Utd sio ya kukaa kumpa muda kocha huwezi pisha mbona Conte alionekana wild card na ana perform vizuri wapo makocha wengi tu wanataka kufundisha Man Utd.
Mou ana muda wa kubadilika na kupata matokeo ila inabidi akubali kuwapa game wachezaji kutokana na michuano na opponents kama alivyokuwa anafanya SAF au makocha wengi, kila siku watu tunasema Fellain sio mchezaji wa kucheza Man utd ila tunazidi kuona. Wacha watu wacheze position zao then hawaperform piga benchi.
Kisingizio cha muda kimepitwa na wakati......Kocha ana omba muda kufundisha Sunderland and Co ila Man Utd tuna resources za kutosha .
Sifa kubwa ya kuwa kocha ni kuamua unachoamini kitakuletea matokeo unayoyataka,ukifanya maamuzi ukapata postive result utasifiwa lakini yakigoma wewe ndio utabeba lawama.Pep ametua City aliamua kuwaondoa Hart,Mangala,Nasri,Toure
Klopp kamuondoa Sakho na anamchezesha Lucas beki
 
Belo umeongea vitu vya msingi sn ktk post hii ndio maana Mimi hoja yangu ya matatizo ya Utd inasimamia kwa wachezaji Na si kocha.

Watu hawamuelewi Jose vzr ndio maana wanakuja kujaribu kumshambulia yeye moja kwa moja huku wakiacha tatizo kubwa la wachezaji wenyewe.

Mjadala unakua mreefu wakati swala liko wazi tu

we ntuzu unasoma na kuelewa

nani anayetengeneza timu icheze kumzunguka IBRA?
 

Suppose kashindwa hata kutoboa so called TOP FOUR unadhani hawa matajiri walivyo RUTHLESS watamwaga mapesa mengine ili atengeneze timu anayotaka?

kutengeneza timu ni issue COMPLEX wakati mwingine ukiwa na matajiri VIBURI na RUTHLESS na rahisi pia wakati mwingine kama matajiri ni patient

sema siku hizi ni hire and fire watu wamewekeza pesa nyingi sana kwenye mpira wana demand payback ya pesa na makombe.....get one of them or wanakuonyesha EXIT DOOR

imagine mou ni mtu wa kutimuliwa kama Mbwa na Abramovich? baada ya kubeba ndoo miezi 12 nyuma yake?

Issue ya kujenga timu pia kueleweka kwa FANS ni shida maana kujenga kunapitia MAUMIVU makali sturugle za hatari mpaka matunda yaive
Mara sizani km kwa Utd wataweza kumfukuza Jose haraka haraka hasa ukizingatia sbbu ya matatizo yao wanayajua.

Mara ya kwanza Abramoney alimfukuza Jose kwa hulka Na kiburi chake huyo Abramoney lkn timu ilivyobadili makocha bila mafanikio alisalimu amri akamrudia tena Jose.

Mara ya pili ilibidi atolewa ili kuinusuru timu maana ilikua haina namna timu ilikua Na mambo mengi yakiisumbua kitu ambacho ilibidi bechi LA ufundi kulitoa.
 
mi naweza sema....!!! hii ni fikra yangu na nadhani niko sahihi majority mtakubaliana na mimi

manure walikuwa wana shine kwa mpira wa WINGS na POWER

mpira ambao haupo tena pale....manure sasa wana taka kupenetrate kuingia katikati jambo ambalo halikuwa analitumia SAF

hii falsafa ya mpira wa kross nyingii na mpira wa kasi na nguvu ilimtoa sana SAF

niwaulize kuna mpira kama huo manure?
 
Sifa kubwa ya kuwa kocha ni kuamua unachoamini kitakuletea matokeo unayoyataka,ukifanya maamuzi ukapata postive result utasifiwa lakini yakigoma wewe ndio utabeba lawama.Pep ametua City aliamua kuwaondoa Hart,Mangala,Nasri,Toure
Klopp kamuondoa Sakho na anamchezesha Lucas beki
Sikatai Kocha inabidi usimamie unachoamini na hicho ndio kinaleta uhalisia wa kocha ila mie nasema kwamba pia kocha inabidi ubadilike na tactics kwa jinsi zinavyofanya kazi. Mou anatumia tactics zile zile zilizomfelisha kipindi amerudi Chelsea mara ya pili......na bado zinamfelisha hapa UTD.
 
Kuna mambo mengi Mourinho anapaswa kuyafanya ktk hiyo timu na kuanza kumpima sasaivi eti kashindwa hasa ukiangalia kua ana muda gani hapo itakua ni makosa sn. Timu iko na falsafa Yake Na itikadi zao Na Sera zao pia Na kocha pia ana mambo Yake pia. Yote haya yanahitaji muda kuyafanyia kz ili yaweze kuleta matunda ktk timu. Lkn kwa Mourinho na huu muda mdogo Na usajili alioufanya bado sn kushambuli.

Conte ni kocha pekee ktk EPL ambae tactics zake zinaonekana kuwork out lkn Klopp ana misimu miwili ktk LFC bado ana fail. Guardiola huko Etihad bado Na yeye ana fail.... Kwahiyo utaona ni Conte, Wenger Na Pochetinho Wa Spurs ndio wana nafuu kidogo. Hapa ndio nakuja ktk point yangu kua Mourinho na muda wake mdogo huu ana hangaika wengine pia wanahangaika.


Mourinho anapaswa kuijenga Utd kwa kununua wachezaji km alovyoijenga Chelsea.
Klopp kafeli vipi?
Guradiola kafeli vipi?

Yaani we jamaa unaona Mourinho ana faulu halafu kina Klopp wana feli loooh!!!!
Sjawahi kuona
 
Mourinho ni lulu inayong'aa ktk Giza Na wenye EPL wanajua hilo ndio maana hawataki a shine
Mou alikuwa lulu enzi zake ila kwa sasa kasha isha. Na matokeo yana jionesha

Looking back LvG was doing better than him hadi sasa.
 
Sidhani kama unamfahamu Mourinho vizuri mfumo anaotumia na wachezaji anaowapenda


1.Huwa anapenda kuwa na one powerfull striker (Drogba,Etoo,Benzema,Costa -Zlatan) na anapenda CB wenye umbo kubwa (JT-Carvalho,Lucio-Samuel-Materazi,Pepe-Ramos-Carvalho,JT-Cahill-Zouma)

3.Siku zote fullback(Marcelo-Arbeloa,Maicon-Zanetti,Ivanovic-Azpi) na winger ambao wanakaba(Duff-Roben-Cole-,Zanetti-Muntari,Di Maria,Wilian-Hazard) ndio inakuwa silaha yake kwenye ushambuliaji.Mata na Martial wameweza ku-adapt kucheza anavyotaka

4.Jose alivyotua Chelsea mara ya pili tayari alirudi kwenye timu anayoijua na baadhi ya wachezaji anawajua/wanamjua so yeye kutengeneza first eleven ilikuwa rahisi.Chelsea aliwakuta Cech-Ivanovic-Cole-Cahill-Zouma-JT-Azpi-Ramirez-Lampard-Hazard-Oscar-Mikel-Ba akawasajili Cesc,Matic,Costa na hawa wote waliingia kikosi cha kwanza na walikuwa among key players Chelsea ilivyochukua ubingwa


Mourinho -Manchester United
Most players aliowakuta wengi hawafit kwenye mfumo wake ingawa sio wachezaji wabaya nafikiri umeona Depay,Bastian Darmian,Morgan,Rojo,baadhi wameweza ku-adapt mfumo wake (Valencia,Herrera,Mata na Martial kama umemuona last 3 games).Cha kwanza alisajili wachezaji ambao wanafit kwenye mfumo wake Ibra,Pogba,Mikhi na Bailly


Hakuna alisema Mourinho hakuna anachokosea ,Nini Mourinho anakosea-anapaswa kufanyia kazi haya

1.Ametengeneza mfumo unaomfanya Ibra tu ndio afunge magoli so akikabwa/asipocheza United wanastrugle kufunga magoli,timu inapaswa kutengeneza nafasi kwa wachezaji wengi mmoja akibanwa mwingine anafunga.Liverpool/Arsenal wanafaidika sana kwenye hilo,anaweza kujaribu kutumia 4-4-2 wacheze Ibra-Rashford au 4-3-3 Ambao itabidi winger wawe wanamsaidia Ibra hata game ya Everton second half Ibra alikuwa isolated peke yake mbele sometimes akawa anarudi katikati kutafuta mpira

2.Fullback ni silaha kubwa kwenye mfumo wake kwenye kushambulia last season Ivanovic alikuwa chini ya kiwango Chelsea ilipata tabu sana.United inamtegemea Valencia tu/upande wa kulia kwenye kushambulia so akibanwa nae timu inastrugle Timu inashindwa kabisa kushambulia upande wa kushoto Darmian ni liabilty kushambulia.Blind/Young ni option nzuri kwenye kushambulia kuliko Darmian

3.Moja ya kosa analofanya ni kumchezesha Rashford winga,akicheza pembeni anakuwa liability kwenye timu sababu muda mwingi anatakiwa arudi kumsaidia fullback na hiyo kazi hawezi.Mata/Martial/Mikhi,Lingard na Rooney hawa ndio awachezeshe pembeni

Nusu ya kwanza nimekuelewa na nna mfaham Mourinho, hasa yule wa mwaka juzi kurudi nyuma.

Tatizo langu ni kuwa ana makosa yanayo jirudia halafu anafikiri yatakuja kuisha hivi hivi tuu, kuna mtu jana nime mwambia Mourinho aliye fukuzwa chelsea ndiye Mourinho tuliye naye sasa, ni kama anaendeleza tu.
Na hawezi kubadilika. Mfano mfumo huu huu mbovu anao utumia angejenga discpline kwa wachezaji lazima angekuwa hata ana vi point 26. Na kelele hapa zingepungungua so huyu bwana ni jipu.
 
Belo umeongea vitu vya msingi sn ktk post hii ndio maana Mimi hoja yangu ya matatizo ya Utd inasimamia kwa wachezaji Na si kocha.

Watu hawamuelewi Jose vzr ndio maana wanakuja kujaribu kumshambulia yeye moja kwa moja huku wakiacha tatizo kubwa la wachezaji wenyewe.

Mjadala unakua mreefu wakati swala liko wazi tu
Belo kaeleza vizuri ila amemakizia kwa kusisitiza kuwa Mourinho ana shida zake
Sasa zile shida alizo maliza nazo zile ndio zitamtoa man utd
 
we conclude hivi toka SAF aondoke lazima manure walikuwa wapitie TRANSITION

sie tuliwambia hapa baada ya kustaafu...!! kuvaa viatu vyake ni issue tena sio ya kitoto

kocha anabeba lawama matokeo yakikosa sio players MJOMBA...unless unaongea kwa bias

umeulizwa juu pale

WACHEZAJI WALIODAIWA KUMZINGUA MOU PALE CHELSEA MBONA WANAKIMBIZA KWA CONTE?

Mlifikia nyie chelsea kusema Hazard auzwe, coutouis auzwe, hakuna aliyetaka kumuona Matic

formula ganimewafanya msimu huu waperfome? husinambie wali msubotage Mou...unless unipe EVIDENCE sio theory
Mourinho alifukuzwa Chelsea kwa sababu nyingi na hii ya wachezaji kumgomea inaweza kuwa sababu ndogo sana

1.Ligi ya England competition ni kali sana nafikiri miaka 5 iliyopita hakuna bingwa ambaye ameweza kutetea ubingwa wake timu nyingi zilichukua ubingwa msimu uliofuatia kumaliza top 4 imekuwa challenge (Man City,Man United,Man City ,Chelsea,Leicester).Ushindani wa EPL ukichukua ubingwa hupaswi ku-relax unapaswa kumotivate/kusajili timu iweze kupambana upya.Management ya Chelsea,Mourinho na wachezaji wa Chelsea walirelax sana.Ivanovic,Matic,Fabregas Hazard,Costa walirudi kwenye timu wakiwa off form na walikuwa wamechoka baada kucheza sana

2.Ku-motivate players pia ni kusajili wachezaji wapya ambao watakusaidia kupambana upya,Management ya timu haiku-msapoti kocha kwenye usajili alitaka kuwasajili Stones,Varane na Pogba but hakumpata hata mmoja baada ya mambo kwenda mrama ilibidi kumsajili Pedro karibia na deadline ya usajili.JT,Ivanovic na Cahil umri ulishawatupa na Mourinho huwa anakupumzisha ukiumia tu,nakumbuka JT pamoja na umri mkubwa alicheza mechi zote 38 .Wachezaji waliosajiliwa Baba Rahman ,Djilobodji hawakuwa chaguo la kocha


3.Ule ugomvi wake na daktari ni moja ya sababu kubwa kupunguza morali ya wachezaji,wachezaji karibia wote hawakumuunga mkono kwenye ile kesi hata management ya klabu hawakuipenda so Jose alianza kubaki peke yake kwenye timu ambayo kila mtu alikuwa anampenda

4.Msimu wa 3 huwa ni challenge kubwa sana kwa Mourinho kote alipofundisha
 
Mara sizani km kwa Utd wataweza kumfukuza Jose haraka haraka hasa ukizingatia sbbu ya matatizo yao wanayajua.

Mara ya kwanza Abramoney alimfukuza Jose kwa hulka Na kiburi chake huyo Abramoney lkn timu ilivyobadili makocha bila mafanikio alisalimu amri akamrudia tena Jose.

Mara ya pili ilibidi atolewa ili kuinusuru timu maana ilikua haina namna timu ilikua Na mambo mengi yakiisumbua kitu ambacho ilibidi bechi LA ufundi kulitoa.
Hahahaha
Unamtetea kama nduguyo hivi
Simkubali kwa kweli Mourinho wako, anafeli kuliko moyes!!!! na ata feli sana kama asipo kubali kuwa ni makosa yake.
Mara ya kwanza sijajua aliondolewa kwa sababu gani

Mara ya pili alishindwa ku manage timu, ikiwa ina kila kitu, sijui kama ata iweza man utd yenye mapungufu kadhaa.
 
Back
Top Bottom