Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Km zisingekua zina struggle bila shaka ktk michezo 14 waliocheza LFC gunners na city walipaswa kua na points 42. Sasa kwanini leo hii Utd iwe na tofauti ya points 9 na timu ambazo wewe waziona zafanya vzr?Khaaa!!
Alo kwambia nani kuwa zina strugle!?
Chelsea ana 34
Arsenal 31
Liva 30
Man city 30.
Sasa hilo gap mbona la kawaida na la ligi kabisa.
Man utd.... 21- hiii sasa ndio ina struggle
Kutoa sare siyo kugain point moja ni kupoteza point mbili, na man utd hawawez wakajiteta et kwa kuwa wana toka sare.
Kumbuka ku- wrapp hizo points 9 ni michezi mitatu kitu kinawezekana kwa Mourinho na Utd.
Karibu udadavue
acha kuchukulia mambo simple hivo.