1. Tuchel (Dortmund)
2. Zidane (Madid)
3. Conte (Chelsea)
4. Ancelotti (madrid)
5. Blanc (PSG)
Nimekutajia wa tano hao hapo.
Mtu kama Ancelotti, ni wa pili kwenye ligi huyu ana struggle reasonably, kina Allegri wali strugle for about a month, baada ya hapo ana hit the road. Makocha hao hawakuwa wa 6 kwenye ligi zao, yet tulisema wana struggle, huwezi kumfananisha Mou na hao, at least Emery nilihis ata shindwa. Klopp nilieleza kuwa alikuja liva wakati msimu usha anza na aliwakuta kwenye hali mbayaa.
Sidhani kama ni reasonable kuwafananisha hao, na kumbuka Mourinho hata alikotoka Chelsea ali iacha ikiwa hali mbaya, mara ya pili hii tunarudia hili jambo mkuu.
Its cleary Mou yuko kwenye deep struggle zaidi.