ShyaRuwa
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 8,239
- 14,737
Chelsea, Liverpool, Man city, Arsenal na Tottenham. Halafu bado mnataka kucheza UEFA?Una Blind moja kati ya mabeki bora wa pembeni wenye kujua kupiga krosi zenye macho, unamng'ang'ania Darmian.
Nimeanza kukosa imani na mbinu za Mourinho.
Ubingwa tushakosa hata nafasi ya Uefa tunaelekea kuikosa.
OK, tuambieni mnataka kucheza badala ya nani kati ya hizo timu nilizotaja.