Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,105
Na angalia rekodi yetu tukitangulia kufunga ndio huwa nzuri.Huwa tunafanya makosa sana kufungwa magoli ya mapema
Sja jua kwa nn watu wana tuwahi mwanzon
Na angalia rekodi yetu tukitangulia kufunga ndio huwa nzuri.Huwa tunafanya makosa sana kufungwa magoli ya mapema
Jamani leo tumefeli toka mwanzoni lakin lolote laweza tokea
Sawa mkuuTuwe na subira mkuu..
Tusiwe tunalalamika mapema kiasi hicho, hivi vitu huwa vinatokea,
Wacha1Marefa wanatuumiza sana siku hizi,
Mou anatakiwa abadirishe mtindo wake wa kusakamana sana na Marefa. Naona kinyongo chao wanakimalizia kwa Timu,
Ona kama hii faulo ya Pogba, Faulo kachezewa yeye na Kadi kapata yeye..!! Mou kalalamika kidogo tu, naye kala nyekundu..!!!
Anatakiwa kubadirika na kutafa namna nyingine ya kufikisha malalamiko yake kwao.
Kwa kuwa ametoa assist kwa Zlatan?Halafu kuna wapumbavu wanakuja kubana pua humu 'Pogba hajui mpira'


Mkuu nami nilikuwa nategemea huko ila wameniangusha kutokuonesha ilibidi nikimbilie kibanda umiza kuangalia mapema na nikakuta tumeshapigwa 1 bilaMobdro hakuna channel inaonyesha game yetu wakuu??
astro super sport 3 wanaonyeshaMobdro hakuna channel inaonyesha game yetu wakuu??
astro super sport 3Wa kustream channel gn mobdro jmn
Pale ange-chip kama Rooney.Hawa watoto waanze sub huyu rashford kaanza kukegea goli gn la kukosa rooney alifunga goli kama lile last thursday
hawa West ham tunawafunga na jumatano pia tunawatoa kombe la leagueWe have to win this game la sivyo tutadharaulika sana