Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hongereni wakuu ... .... dah, angalau pressure imepungua kwa Moureen ..... ..... ... khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Burnley, wababe wa Liverpool

Mtani Ulishindwa Kazi Kwa Burnley Kunilipia Walivonifunga... Lakini Mimi Nimeshakulipia Kwa Kuwatandika Wababe Wako Watford goli 6..

By the way! Mbona Kwa Watford sijaona timu ya Kukufunga goli 3 pale??
 
Siku zote huwa na imani na captain wetu hilo kweli ila wazza hupenda kujituma na ana machungu sana tukifungwa hicho kitu ninamkubali sana.
Baada ya kuwekwa benchi Rooney imemsaidia na alikubali so anajitahidi akipata nafasi apiganie nafasi kumuonyesha kocha kwamba bado uwezo anao,Rooney workrate yake ni kubwa ingawa kiwango kimepungua lakini still ana msaada.Hizi game 2 amecheza vizuri sana lakini yeye na Ibra hawapaswi kuchezeshwa dakika 90 kila wiki
 
ed3245fafca79b3a345ecb64a4ab538e.jpg

KITUUUUUUUUUUUUUU ila jones ingekukuta hii duuuh
 
Game zote alizoanza Carrick timu haijapoteza mchezo ni muda wa Bastein naye kuaminiwa na kupewa nafasi.

Ila kama De gea makali yamepungua kidogo Romero naye apewe nafasi.
 
Baada ya kuwekwa benchi Rooney imemsaidia na alikubali so anajitahidi akipata nafasi apiganie nafasi kumuonyesha kocha kwamba bado uwezo anao,Rooney workrate yake ni kubwa ingawa kiwango kimepungua lakini still ana msaada.Hizi game 2 amecheza vizuri sana lakini yeye na Ibra hawapaswi kuchezeshwa dakika 90 kila wiki
Yaah hilo la dakika 90 hawatakiwi kumaliza mpira una kasi siku hizi na umri wao umesogea sana hilo tupo pamoja.
 
Game zote alizoanza Carrick timu haijapoteza mchezo ni muda wa Bastein naye kuaminiwa na kupewa nafasi.

Ila kama De gea makali yamepungua kidogo Romero naye apewe nafasi.
Japo beki yetu mbovu

De gea ni kipa mzuri ila lately anakosa Consistency.

Kwa kweli tunaruhusu magoli kirahisi mnoo
 
Mtani Ulishindwa Kazi Kwa Burnley Kunilipia Walivonifunga... Lakini Mimi Nimeshakulipia Kwa Kuwatandika Wababe Wako Watford goli 6..

By the way! Mbona Kwa Watford sijaona timu ya Kukufunga goli 3 pale??
Mie Burnley hajanifunga mkuu, nimesuluhu naye.
 
Tunashukuru jukwaa limekuwa na michango chanya, na kama ni ukosoaji ni wa kujenga zaidi. Wasaga sumu wikiend haijakuwa poa hasa wale kindergarten wa assnail. GGMU.
 
Bora Msimu Uishe Leo Abakie Hapo Nafasi Ya Nane Alipo Kuliko Kumaliza Masimu Akakosa Hata Top 10...
Na nyinyi sio kama hiyo nafasi muliopo mna hatimiliki nayo, pambaneni kwanza, msimu ndo kwanza hata nusu haujaisha, acheni kukurupuka
 
Hapana........aseno kashaanza ingia kwenye siku zake huko
Mtawafunga sana hao wajingawajinga lakini arsenal hamuwawezi...hebu shika adabu zenu. Endeleeni kuumizana...sisi tupo juu tunaning'inia.
 
Back
Top Bottom