Huyu Ibra hatari sanaHii kick inapaswa ije itue kwa beki mmoja wa Gooners next game
Hata mimi naona. Bila shaka unafurahi huko ulipoKesho swansea anajibebea point zake 3 kilaini kabisa!...
Jifunze kuweka akiba ya manenozlatan is useless for dis tym gam zote walizocheza yy na pogba wangepewa wakina rashford 2ngekuwa mbali au ata micky angecheza angeshazoea na wenzake
AmechangamkaNaona rooney leo yupo kwenye kiwango
Yes but hii timu kocha wa kuondoaNaona rooney leo yupo kwenye kiwango
Ni kawaida yao machoko haoHawa haters watasema tumeokota dodo,
Chifu, calm down...no need to cuss...Ni kawaida yao machoko hao
hata kwa leicester walisema ivyo ivyo
Kwa iyo we maandazi au ukawaMan u inasumbuliwa na kasumba mbili haters (ukawa) ja mashabiki maandazi ambao week ya wanamponda ibra kuwa hafai lkn leo watamuona ndio mfalme ni bora uwe ukawa kuliko shabiki maandazi in utd we trust ggmu..