Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kusema kweli timu imebadilika kiuchezaji tangu game ya fenerbahce. Inacheza kitimu zaidi, inashambulia sana na la msingi zaidi inatengeneza nafasi za kufunga, clear chances. Kuna vitu vidogo sana vikibadilika, January tutakuwa title contenders.
Uwiiiiiiiii mtakuwa nani January? Hakuna falme isiyoanguka. kwa mji wa Manchester, city ndio wanawabeba. Vinginevyo soka linarudi london au liverpool.
 
Uwiiiiiiiii mtakuwa nani January? Hakuna falme isiyoanguka. kwa mji wa Manchester, city ndio wanawabeba. Vinginevyo soka linarudi london au liverpool.
Bruhh!! Soka linarudi London na Liverpool? Baada ya 10 games unawezaje kufikia hilo hitimisho?
 
Bruhh!! Soka linarudi London na Liverpool? Baada ya 10 games unawezaje kufikia hilo hitimisho?
Nyota njema huonekana asubuhi mkuu. Nini unategea kwa sasa toka kwa united. Kwa kweli kwa sasa united haina tofauti na vilabu kama soton, westham na kina stoke city. United imebaki kama brand. Mjiandae kisaikolojia kama ilivyokuwa kwa liverpoll na milan ya Gang Chomba.

Kwa sasa mna kazi ya kujenga na kubomoa. Soon utasikia kelele za mou out. Muda utaongea
 
Nyota njema huonekana asubuhi mkuu. Nini unategea kwa sasa toka kwa united. Kwa kweli kwa sasa united haina tofauti na vilabu kama soton, westham na kina stoke city. United imebaki kama brand. Mjiandae kisaikolojia kama ilivyokuwa kwa liverpoll na milan ya Gang Chomba.

Kwa sasa mna kazi ya kujenga na kubomoa. Soon utasikia kelele za mou out. Muda utaongea
Sawa Sheikh Yahya Jr.
Halafu naweza kuwa naongea na mtu asiye wa mpira. Maana kuandika Liverpool kumekushinda
 
Sawa Sheikh Yahya Jr.
Halafu naweza kuwa naongea na mtu asiye wa mpira. Maana kuandika Liverpool kumekushinda
Hizo ni typing erra mkuu. Ila umeelewa. Kwa nini hamtaki kukubali kuwa mpo kwenye wakati mgumu.
 
. Kwa nini hamtaki kukubali kuwa mpo kwenye wakati mgumu.
Duh! How old are you if I may ask! You sound childish bruh! Yaani unataka tukubali kuwa timu ipo katika mgumu wakati kiuhalisia matokeo yanaonyesha timu ipo katika wakati mgumu? Tukikubali ndiyo itakuwaje sasa! Tuseme ama tusiseme hilo haliondoi uhalisia. Any grown man would know this!
 
Uwiiiiiiiii mtakuwa nani January? Hakuna falme isiyoanguka. kwa mji wa Manchester, city ndio wanawabeba. Vinginevyo soka linarudi london au liverpool.
Unatuhukumu kwa kutokuwa na bahati kwenye mechi ya jana mkuu. Kama isingekuwa kipa wao, nadhani mngekuja na komenti kuwa tumebahatisha ushindi na difference ingebaki kuwa 6pts. game ya 10/38 tayari unaongelea kuanguka kwa zama za utd? Labda unaongelea rugby mkuu!
 
Zlatan:Tatizo la Mourinho ni kutengeneza mfumo unaomtegemea Zlatan na kumchezesha muda mwingi na umri wake hauruhusu.Rashford akipangwa kati hawezi kukosa nafasi nyingi kama Zlatan na kumchezesha winga ni kuharibu kipaji chake,Martial anaweza kucheza winga sio Rashford

Pogba:Muda unavyokwenda anasettle kwenye timu,general perfomance ya timu inamuangusha

Mkhitarian:Kipindi ambacho timu imekuwa haifungi magoli huu ndio ulikuwa wakati wake,Hizo story hana match fitness sio za msingi kabisa ina maana alinunuliwa kwa ajili ya msimu ujao ?
 
Mpira bwana kitu cha ajabu kabisa yaani watu wameshasahau kabisa kwamba wale waliotoa Droo na United wao walifungwa! Na wengine wanaojita mabingwa walifunga goli la usikuuuu tena la mkono!
 
Wewe endelea kuwa shabiki wa Loserfools. Usijifanye unafahamu historia ya timu ambazo huzishabikii!

Ngoja nikupe darasa kidogo:

Kabla ya EPL, United ilikuwa na 7 division titles; 7 FA cup titles; 1 UCL championship (the 1st English team to do so); 1 European winners cup; and 1 European super cup. United had world class players: Bobby Charlton, George Best, Bryan Robson, Brian Kidd, Mark Hughes, Paul Ince, and Nobby Stiles.

You call that "haikuwa chochote katika ulimwengu wa soka"?


Mkuu Kauli Za Kimpira Zitumikie Zilivyo!! Inaposemwa Liverpool imebaki Historia tu lakini haina Kombe!! Haimaanishi Kuwa Tokea Mwaka 1992 ndiyo haijawahi Kuchukua Kombe lolote!! nadhani unalijua hilo...

Na Tunaposema Man U kabla ya 1992 haikuwa Chochote! Haimaanishi Kuwa Haikuwa ikichukuwa Makombe...

Tunachozungumzia Ni vile Kuwa Dominant katika Kwenye ligi..

Mfano:
Liver Kawa Dominant 1970s - 1980s
Man U kawa Dominant 1992s - 2010s

Kwahiyo Nje Ya Vipindi Hivyo Timu Hizo kikauli ya Mpira Tunasema Si Chochote..

Kwasasahivi EPL haina Dominant bali atakaewaokota Wenziwe Maranyingi Ndiye atakaeibuka Bingwa..
 
Mkuu Kauli Za Kimpira Zitumikie Zilivyo!! Inaposemwa Liverpool imebaki Historia tu lakini haina Kombe!! Haimaanishi Kuwa Tokea Mwaka 1992 ndiyo haijawahi Kuchukua Kombe lolote!! nadhani unalijua hilo...

Na Tunaposema Man U kabla ya 1992 haikuwa Chochote! Haimaanishi Kuwa Haikuwa ikichukuwa Makombe...

Tunachozungumzia Ni vile Kuwa Dominant katika Kwenye ligi..

Mfano:
Liver Kawa Dominant 1970s - 1980s
Man U kawa Dominant 1992s - 2010s

Kwahiyo Nje Ya Vipindi Hivyo Timu Hizo kikauli ya Mpira Tunasema Si Chochote..

Kwasasahivi EPL haina Dominant bali atakaewaokota Wenziwe Maranyingi Ndiye atakaeibuka Bingwa..
I lest my case as I only contradictions.
 
Zlatan:Tatizo la Mourinho ni kutengeneza mfumo unaomtegemea Zlatan na kumchezesha muda mwingi na umri wake hauruhusu.Rashford akipangwa kati hawezi kukosa nafasi nyingi kama Zlatan na kumchezesha winga ni kuharibu kipaji chake,Martial anaweza kucheza winga sio Rashford

Pogba:Muda unavyokwenda anasettle kwenye timu,general perfomance ya timu inamuangusha

Mkhitarian:Kipindi ambacho timu imekuwa haifungi magoli huu ndio ulikuwa wakati wake,Hizo story hana match fitness sio za msingi kabisa ina maana alinunuliwa kwa ajili ya msimu ujao ?
Zlatan ni undropable . Kiunazi nataka amchezeshe midweek na next week 90 minutes both ili azidi kuchoka for the following weekend ( vs Arsenal ) . Mourinho atakuwa kasha make his mind kuwa Zlatan ndiye first choice striker for number of games this season. Vile vile Mourinho anajulikana kwa kutoamini young players kuongoza safu ya ushambuliaji so Rashford kuwa first choice CF under Mourinho (first season ) itakuwa ngumu
 
2c9fb72977b6419de8848cac6204cb45.jpg
 
Zlatan ni undropable . Kiunazi nataka amchezeshe midweek na next week 90 minutes both ili azidi kuchoka for the following weekend ( vs Arsenal ) . Mourinho atakuwa kasha make his mind kuwa Zlatan ndiye first choice striker for number of games this season. Vile vile Mourinho anajulikana kwa kutoamini young players kuongoza safu ya ushambuliaji so Rashford kuwa first choice CF under Mourinho (first season ) itakuwa ngumu
Rashford anacheza kila wiki,tatizo anachezeshwa winga.
 
Wewe Sikushangai Kwasababu Huenda Ukawa Umezaliwa 2016...
Kama umezaliwa Chini Ya Hapo Basi Ndani ya Miaka 23 tumeshachukua Makombe haya:-
↓↓↓↓↓↓


2000/01 → UEFA Europa Cup

2004/05 → UEFA Champion League

2001 → Europa Supper Cup
2005 → Europa Supper Cup

2000/01 → FA cup
2005/06 → FA cup

1994/95 → League Cup winners
2000/01 → League Cup Winners
2002/03 → League Cup Winners
2011/12 → League Cup Winners

2000/01 → Charity Shield Winners
2006/07 → Charity Shield Winners


Sasa Kama umekusudia Ndoo Ya Maji!! Hapo umepatia... Lakini Kwa Makombe Makubwa Yote Basi Tumenyanyua!! Tulilokuwa Hatujabeba Premium League tu!! Kwahiyo Liverpool Hatuna Ukame Wa Makombe bali tumeshindwa Kunyanyua Kombe moja tu la Premium League...
Usikurupuke jipange kiuandishi kwani huu mchezo hauhitaji hasira..
Na wewe jipange kiuandishi kuna tofauti kati ya SUPPER na SUPER.
 
Honestly speaking manure is not going to win EPL soon.....mnatakiwa kuwa wavumilivu sana

kuna kitu kilikuwapo pale (THE FEAR FACTOR) hii kitu kuirejesha naona imekuwa Ngumu sana na itakuwa ngumu sana maana ilijengwa kwa miaka mingi MOYES akaiunja within months, vitimu haviiogopi kabisa OT

kama zamani...

mna kipindi cha mpito hata hamna anaeamini kingechukua miaka 4 -5 hivi ila inakoelekea itafikia 5 au zaidi

mtizamo wangu tu lakini
Labda umesahau, 2013 man utd walikuwa mabingwa wa EPL. Timu yako haijachukua EPL zaidi ya miaka kumi sasa. Kuna watu humu wanapiga kelele lakini mara ya mwisho Arsenal anachukua kombe wengine walikuwa na miaka 10!
 
Basi Sio Kauli Sahii Kusema Miak 27 bila Ya Kombe! Bali Miaka 26 bila ya EPL kwani Makombe Mengine Ya Aina Zote Tumechukua..

Katika Soka Kila Mtu Na Era Yake... Sisi Era Yetu ilikuwa 1970s - 1980s...

Na Man U Era Yake ni 1992s - 2010s..
Kabla ya 1992 Man U haikuwa Chchote Katika Ulimwengu wa Soccer...

So, era zenu Zimeshaisha Kama Zilivyoisha Zetu....

Huenda ikawa sasahivi ni era ya Man City kwenye EPL....

Tukubali matokeo tu....
Era ya man city? Kipindi hiki kachukua mara mbili United moja, hio ya pili kachukua kwa GD last minute Aguero goal. Labda wachukue mara nyingine tatu hivi ndio tunaweza kusema 2010-2020 ni era ya man city.

2011-man utd
2012-man city
2013-man utd
2014-man city.
 
Era ya man city? Kipindi hiki kachukua mara mbili United moja, hio ya pili kachukua kwa GD last minute Aguero goal. Labda wachukue mara nyingine tatu hivi ndio tunaweza kusema 2010-2020 ni era ya man city.

2011-man utd
2012-man city
2013-man utd
2014-man city.

Marahii Pia Possibility Kubwa Kwa Man City Kuchukua Ubingwa ipo..
 
Back
Top Bottom