Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,148
- 17,001
Uwiiiiiiiii mtakuwa nani January? Hakuna falme isiyoanguka. kwa mji wa Manchester, city ndio wanawabeba. Vinginevyo soka linarudi london au liverpool.Kusema kweli timu imebadilika kiuchezaji tangu game ya fenerbahce. Inacheza kitimu zaidi, inashambulia sana na la msingi zaidi inatengeneza nafasi za kufunga, clear chances. Kuna vitu vidogo sana vikibadilika, January tutakuwa title contenders.