Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

upload_2016-10-29_20-53-32.png


Wazee wa kulalamika khee khe e kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

upload_2016-10-29_20-54-31.png


That's how you spend £89 million ..... .

upload_2016-10-29_20-55-11.png


upload_2016-10-29_20-55-33.png


upload_2016-10-29_20-55-54.png


Rui Faria replaces Moureen ....

upload_2016-10-29_20-56-28.png

What is the Mata
khe khe khe khe heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

upload_2016-10-29_20-57-13.png

Kilio cha Manure
Khe ke khe khe ke heeeeeeeeeeeeeeee
 
upload_2016-10-29_21-0-51.png


f u c k off ndiyo maneno yake
What a loser khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Baada Ya Kumuotea Man City Mulikuja Na Shangwe Hapa Mukaona Kama Tayari Mumeshakuwa Na Timu! Kumbe Bado Kigenge Chenu Kina Gundu...
Haya Na leo Njooni hapa mufanye Shangwe lenu.... Nadhani Jitahidini Mupate Japo Nafasi Ya Tano Ya Kucheza Europa League Kabla Spurs/Everton Hawajazina Matumaini Yenu...
Mkuu uwe unaangalia mpira kabla hujaweka utumbo wako hapa.
 
Poleni wakuu nimeambiwa kumetokea msiba hapa ....... ........ imebidi nijiunge na waombolezaji kwenye matanga ...... .. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

View attachment 426292

Ander Herrera is shown a red card and given his marching orders by referee Mark Clattenburg

View attachment 426293

Herrera protests his innocence but it was a second late challenge
on Dean Marney

View attachment 426294

Moureen kama kawaida yake ..... ...... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

View attachment 426295

Moureen was clearly unimpressed with the fourth official

View attachment 426297

Kazi kubwa ...... ...... na bado
Khe khe ke khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wacheni kulialia kama kasuku khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hivi kumbe Mourinho kafungwa? Nilikuwa sijui, hongera sana Burnel kwa ushindi.
 
Kipa wao kafanya save nyingi achilia mbali zilizo kula besela ndio game zinavyokuwa cha msingi nimependa tunavyo tengeneza nafasi kuna uhai flan hivi unaonekana
Sio uhai flani, ni uhai wa uhakika. Besela limegongwa mara mbili ndani ya dakika moja. Achilia mbali lile shuti la tick tak la Ibra lililomtegua kipa mkono.
 
336d3f8becf8b4d506780da9f3b4a596.jpg

Nafikiri mnaelewa maana ya sisi soon or later mtaelewa kama bado vichwa ngumu
Wewe subiri ukutane na vigogo. Mpaka sasa hivi mwishoni mwa October hujacheza na kigogo hata mmoja.Halafu unajiona una timu. Kuanzia kwenye EFL, EPL na UEFA yenyewe unakutana na timu ambazo hata majina hayajulikani. Niambie ile timu ya mwisho kucheza nayo UEFA ni ya wapi na inaitwa jina gani. Subiri Bayern, Barca na Madrid wanakusubiri wakupige 6 huko.
 
Wewe subiri ukutane na vigogo. Mpaka sasa hivi mwishoni mwa October hujacheza na kigogo hata mmoja.Halafu unajiona una timu. Kuanzia kwenye EFL, EPL na UEFA yenyewe unakutana na timu ambazo hata majina hayajulikani. Niambie ile timu ya mwisho kucheza nayo UEFA ni ya wapi na inaitwa jina gani. Subiri Bayern, Barca na Madrid wanakusubiri wakupige 6 huko.
Vigogo gani unazungumzia CHELSEA!!!??
 
Mkuu uwe unaangalia mpira kabla hujaweka utumbo wako hapa.

Nilikuwa Sijui Kama Ubingwa unapatikana Kwa Pasi nyingi na Mashuti Fiza Mengi... Hongera Mkuu Kwa Timu yenu Kupiga pasi Na Mashuti Mengi.. Mwaka huu munatisha... Mashuti 30 bila ya goli!!!! Nyie Wakali... Nawaonea Huruma Wale Wabovu Wenzangu Liverpool, Arsenal na Mancity Kwa Mashuti 7 lakini Magoli 4... Wanapaswa Wajirekebishe Angalau Nawao Wawe Kama Nyie Mashuti 30 bila ya Goli..
😀😀😀
 
Miaka 23 bila ndoo yoyote unathubutu kufungua bakuli lako???

Wewe Sikushangai Kwasababu Huenda Ukawa Umezaliwa 2016...
Kama umezaliwa Chini Ya Hapo Basi Ndani ya Miaka 23 tumeshachukua Makombe haya:-
↓↓↓↓↓↓


2000/01 → UEFA Europa Cup

2004/05 → UEFA Champion League

2001 → Europa Supper Cup
2005 → Europa Supper Cup

2000/01 → FA cup
2005/06 → FA cup

1994/95 → League Cup winners
2000/01 → League Cup Winners
2002/03 → League Cup Winners
2011/12 → League Cup Winners

2000/01 → Charity Shield Winners
2006/07 → Charity Shield Winners


Sasa Kama umekusudia Ndoo Ya Maji!! Hapo umepatia... Lakini Kwa Makombe Makubwa Yote Basi Tumenyanyua!! Tulilokuwa Hatujabeba Premium League tu!! Kwahiyo Liverpool Hatuna Ukame Wa Makombe bali tumeshindwa Kunyanyua Kombe moja tu la Premium League...
Usikurupuke jipange kiuandishi kwani huu mchezo hauhitaji hasira..
 
Sio uhai flani, ni uhai wa uhakika. Besela limegongwa mara mbili ndani ya dakika moja. Achilia mbali lile shuti la tick tak la Ibra lililomtegua kipa mkono.
Kweli ndugu mabadiliko yapo na tuombe yaendelee vijana walipigana hilo lipo wazi wanaobeza waache wabeze
 
Back
Top Bottom