Manu nayo ni timu ya epl, mimesema hakitokuwa na dominant team ya epl, haijalishi ni timu gani.Kutokuepo Na Dominant Team haimaanishi Ndiyo Man U itakuwa na Nafasi... Zama Za SAF kucheza na Marefa Zimepita mkuu...
Kipa wao kafanya save nyingi achilia mbali zilizo kula besela ndio game zinavyokuwa cha msingi nimependa tunavyo tengeneza nafasi kuna uhai flan hivi unaonekanaBahati haikuwa upande wetu Leo.
GGMU
Miaka 23 bila ndoo yoyote unathubutu kufungua bakuli lako???Title Contender???? Are you kidding? Soryy bro! Stop believing Your False Hope...
Mkuu uwe unaangalia mpira kabla hujaweka utumbo wako hapa.Baada Ya Kumuotea Man City Mulikuja Na Shangwe Hapa Mukaona Kama Tayari Mumeshakuwa Na Timu! Kumbe Bado Kigenge Chenu Kina Gundu...
Haya Na leo Njooni hapa mufanye Shangwe lenu.... Nadhani Jitahidini Mupate Japo Nafasi Ya Tano Ya Kucheza Europa League Kabla Spurs/Everton Hawajazina Matumaini Yenu...
Hivi kumbe Mourinho kafungwa? Nilikuwa sijui, hongera sana Burnel kwa ushindi.Poleni wakuu nimeambiwa kumetokea msiba hapa ....... ........ imebidi nijiunge na waombolezaji kwenye matanga ...... .. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
View attachment 426292
Ander Herrera is shown a red card and given his marching orders by referee Mark Clattenburg
View attachment 426293
Herrera protests his innocence but it was a second late challenge
on Dean Marney
View attachment 426294
Moureen kama kawaida yake ..... ...... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
View attachment 426295
Moureen was clearly unimpressed with the fourth official
View attachment 426297
Kazi kubwa ...... ...... na bado
Khe khe ke khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wacheni kulialia kama kasuku khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Msimu wenu wa kupigania kombe huwa unaisha Xmas, hamuogopeshi wala.![]()
Nafikiri mnaelewa maana ya sisi soon or later mtaelewa kama bado vichwa ngumu
Sio uhai flani, ni uhai wa uhakika. Besela limegongwa mara mbili ndani ya dakika moja. Achilia mbali lile shuti la tick tak la Ibra lililomtegua kipa mkono.Kipa wao kafanya save nyingi achilia mbali zilizo kula besela ndio game zinavyokuwa cha msingi nimependa tunavyo tengeneza nafasi kuna uhai flan hivi unaonekana
Wenu si uliisha alipoondoka babuMsimu wenu wa kupigania kombe huwa unaisha Xmas, hamuogopeshi wala.
Wewe subiri ukutane na vigogo. Mpaka sasa hivi mwishoni mwa October hujacheza na kigogo hata mmoja.Halafu unajiona una timu. Kuanzia kwenye EFL, EPL na UEFA yenyewe unakutana na timu ambazo hata majina hayajulikani. Niambie ile timu ya mwisho kucheza nayo UEFA ni ya wapi na inaitwa jina gani. Subiri Bayern, Barca na Madrid wanakusubiri wakupige 6 huko.![]()
Nafikiri mnaelewa maana ya sisi soon or later mtaelewa kama bado vichwa ngumu


Vigogo gani unazungumzia CHELSEA!!!??Wewe subiri ukutane na vigogo. Mpaka sasa hivi mwishoni mwa October hujacheza na kigogo hata mmoja.Halafu unajiona una timu. Kuanzia kwenye EFL, EPL na UEFA yenyewe unakutana na timu ambazo hata majina hayajulikani. Niambie ile timu ya mwisho kucheza nayo UEFA ni ya wapi na inaitwa jina gani. Subiri Bayern, Barca na Madrid wanakusubiri wakupige 6 huko.![]()






Aiseee!Wenu si uliisha alipoondoka babu
Mwaka huu umecheza na kigogo Chelsea peke yake, subiri dawa inakujia.Vigogo gani unazungumzia CHELSEA!!!??![]()
Mkuu uwe unaangalia mpira kabla hujaweka utumbo wako hapa.
Miaka 23 bila ndoo yoyote unathubutu kufungua bakuli lako???
Kweli ndugu mabadiliko yapo na tuombe yaendelee vijana walipigana hilo lipo wazi wanaobeza waache wabezeSio uhai flani, ni uhai wa uhakika. Besela limegongwa mara mbili ndani ya dakika moja. Achilia mbali lile shuti la tick tak la Ibra lililomtegua kipa mkono.