Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ha ha ha ha ha! Sijui Hao GGMU wenzio Wana Mawazo Kama Yako?? Hivi Unahisi Kuna Mtu Anayeoogopa Kivuli?? Mana Nyinyi Sasahivi Ni Shadow tu La Man U..
Kusema kweli timu imebadilika kiuchezaji tangu game ya fenerbahce. Inacheza kitimu zaidi, inashambulia sana na la msingi zaidi inatengeneza nafasi za kufunga, clear chances. Kuna vitu vidogo sana vikibadilika, January tutakuwa title contenders.
 
Kusema kweli timu imebadilika kiuchezaji tangu game ya fenerbahce. Inacheza kitimu zaidi, inashambulia sana na la msingi zaidi inatengeneza nafasi za kufunga, clear chances. Kuna vitu vidogo sana vikibadilika, January tutakuwa title contenders.

Title Contender???? Are you kidding? Soryy bro! Stop believing Your False Hope...
 
Come on!!!...... be positive man no negativity at OT !!!!....... umesahau falsafa yetu?

Hongera mtani umepata angalau pointi naona bwana Pogba anarudi kwenye kiwango chake maana leo second half kaupiga mwingi sana,jipange na Swanselona then nitakuja gheto kwako kuna kikao tukifanye.
 
Baada Ya Kumuotea Man City Mulikuja Na Shangwe Hapa Mukaona Kama Tayari Mumeshakuwa Na Timu! Kumbe Bado Kigenge Chenu Kina Gundu...
Haya Na leo Njooni hapa mufanye Shangwe lenu.... Nadhani Jitahidini Mupate Japo Nafasi Ya Tano Ya Kucheza Europa League Kabla Spurs/Everton Hawajazina Matumaini Yenu...
 
Hongera mtani umepata angalau pointi naona bwana Pogba anarudi kwenye kiwango chake maana leo second half kaupiga mwingi sana,jipange na Swanselona then nitakuja gheto kwako kuna kikao tukifanye.
Hahaha Asante Mtani mwaka Juzi walituonea sana,mwaka Jana nikawazima kiheherehere chao hope Hata mwaka huu nitawafunga midomo. .....karibu... hongera Mtani naona mambo yenu bambam kama kawa ila sijui ndo mwishoni mtaharibu kama mlivyozoea?
 
Baada Ya Kumuotea Man City Mulikuja Na Shangwe Hapa Mukaona Kama Tayari Mumeshakuwa Na Timu! Kumbe Bado Kigenge Chenu Kina Gundu...
Haya Na leo Njooni hapa mufanye Shangwe lenu.... Nadhani Jitahidini Mupate Japo Nafasi Ya Tano Ya Kucheza Europa League Kabla Spurs/Everton Hawajazina Matumaini Yenu...
Humu shangwe kama kawaida "we don't stop when we tired we stop when we done"........ GGMU
 
Hahaha Asante Mtani mwaka Juzi walituonea sana,mwaka Jana nikawazima kiheherehere chao hope Hata mwaka huu nitawafunga midomo. .....karibu... hongera Mtani naona mambo yenu bambam kama kawa ila sijui ndo mwishoni mtaharibu kama mlivyozoea?

Mwenzio nilikua mteja wake kwa muda mrefu juzi hapa nimekomaa kwa mbinde nikamgonga miguu ya bajaji flani kwa mbindeeeee,jiandae wanaweza kukufanya kitu mbaya.
 
Humu shangwe kama kawaida "we don't stop when we tired we stop when we done"........ GGMU

Oh no!!! I'm very sorry to you! Hang on, Do not lose hope!! May be after 20 years you'll be back to your winning era...
😀😀😀😀😀
 
Poleni wakuu nimeambiwa kumetokea msiba hapa ....... ........ imebidi nijiunge na waombolezaji kwenye matanga ...... .. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

upload_2016-10-29_20-30-3.png


Ander Herrera is shown a red card and given his marching orders by referee Mark Clattenburg

upload_2016-10-29_20-31-36.png

Herrera protests his innocence but it was a second late challenge
on Dean Marney

upload_2016-10-29_20-33-9.png


Moureen kama kawaida yake ..... ...... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

upload_2016-10-29_20-33-55.png


Moureen was clearly unimpressed with the fourth official

upload_2016-10-29_20-34-56.png


Kazi kubwa ...... ...... na bado
Khe khe ke khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wacheni kulialia kama kasuku khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
upload_2016-10-29_20-38-25.png


You need to retire Zlatan khe khe kheeeeeeeeeeee

upload_2016-10-29_20-39-38.png


What a waste ...... .......

upload_2016-10-29_20-40-8.png


Khe khee khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

upload_2016-10-29_20-40-41.png


Dah ...... Kina Nzi, Belo et al tumewazoea chacha watakuja na hadithi ndefu kama za Bulicheka khe khe khe keeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom