barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
What has happened to Martial wa LVG??Yaan hatana la kujitetea mkuu draw againts Stoke and burnley at OT haikubaliki.
Hatuja funga goali kwenye mechi 3 za mwisho za EPL, hatuja shinda mechi ya EPL toka september. Kati ya mechi saba tumeshinda moja.
Hatuna cha kujifariji hii timu inazingua.
