Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaan hatana la kujitetea mkuu draw againts Stoke and burnley at OT haikubaliki.
Hatuja funga goali kwenye mechi 3 za mwisho za EPL, hatuja shinda mechi ya EPL toka september. Kati ya mechi saba tumeshinda moja.

Hatuna cha kujifariji hii timu inazingua.
What has happened to Martial wa LVG??
 
Kama kawaida jirani zenu wamepata ushindi mnono leo.

po;eni sana point moja si haba.
 
Nilisema Kuwa Hii Comment Nitaiweka Hakiba Wengine Wakaanza Mawenge Yao! Lakini Sasahivi Mutafahamu Nilichokimaanisha..
Ngwaba, kwetu wametafuta droo ilhali kwenu wamewanywa 2-0. Umeona tofauti yake?
 
Back
Top Bottom