Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 186
Duuuh devils
Hongereni watani naona Mungu yuko upande wenu!:love:
pokea hiyo mkuu najua wacha hapendi kabisaHiki kitoto kinapenda sifa nacho. Kutwa kiko mbele ya goli kusubiri kuunganisha kana kera sema ndio u-striker makini huo.
hapo sio mambo ya mungu.. kiwango na uwezo kinaonekana kabisa
Chelsea washakubali , bado napinga ununuzi wa Torres. Mzee Peasant atapinga kama wamekula hasara lakini naelewa, ni kawaida mtu kukataa ukweli.
Huyu Torres kachukuliwa kuokoa mambo kipindi hiki, sasa matunda yake yasipoonekana hio ni hasara.
kiwango gani bro hapo? Mnawaonea hao mababu hapo nyie..!
pokea hiyo mkuu najua wacha hapendi kabisa
The Following User Says Thank You to Arsene Wenger For This Useful Post:
samora10 (Today)
Naskia yuko fiti sana mazoezini... lolz
Msijekukimbia tu hapo baadae....
Wamlete Drogba aongeze upinzani kidogo japo bench nalo linammaliza siku hizi.
</p><b><font size="4"><font color="darkred">Mbona unaanza woga mapema, nasubiri mguu wa Wine Romney, Nani, Vidic, Ferdinand na Hernandes ivunjike khe khe khe kheeeeeeeeeee</font></font></b></p>
<p>
Pale hakuna ufundi wowote bt kuvizia vizia tu! Enewei jiandaeni na Shake04 hawa wamesha liwa jicho!mkuu si umeona hiyo combinenga iliyotengeneza goli? ufundi umetumika hapo
Hongereni watani naona Mungu yuko upande wenu!:love:
Nyie dawa yenu ni Barca....!