Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hawa Chelsea nao wanaanza kuwa kama Arsenal......:bored::bored:


Wana timu nzuri sana hawa lakini upangaji wao ndiyo dhaifu. Sioni sababu yoyote ya Drogba, Malouda, Anelka na Kalou kutoanza pamoja maana ni tishio kwa ngome ya timu yoyote ile duniani.
 
:angry: wanacheza vizuri ndo maana nataka wavunjwe miguu watoke nje....l.o.l

Ohhh nikajuwa wewe mwenzetu kumbe mgeni bana hahaha....haya basi tupe support na sio kutuponda bana....
 
halafu weweee.. nikikukamata!

angalia kandanda hilo sio wale watoto wenu ambao wana allergy na makombe

:redfaces::redfaces: naomba tu ukinikamata usiniaibishe kama Gbagbo....please.....!!

leo honestly naona kandanda ya ukweli.....sisi Arsenal hadi mwakani tena:hug:
 
avatar24727_1.gif


Baby face hukukimbia kama wenzio?
 
Hiki kitoto kinapenda sifa nacho. Kutwa kiko mbele ya goli kusubiri kuunganisha kana kera sema ndio u-striker makini huo.
 
Back
Top Bottom