Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,655
- 8,584
ha ha ha ha haLeo hata mke wangu akiomba pin ya atm card nampa
ha ha ha ha haLeo hata mke wangu akiomba pin ya atm card nampa
Wamepata kamoja ka kufutia machozi.FT: Man Utd 4- Leicester 1
Kwahiyo leo rooney hajacheza kabisa.?
Pogba Leo kawanyamazisha watuNaachaje kwa mfano na pogba kafunga.
Ataliwa tu tena kiurahisi sana.Naona kama tukiendelea hivi aseno tutamla 8 tena
Umesikika bro!Mkuu ulisubiri hadi mcheze vizuri uje na hizi stats?
Okay poa poa.Amecheza dakika 6 za mwisho ila aliingizwa acheze 11 nadhani.
Bado hajarudisha hata robo ya fedha aliyonunuliwa mkuu [HASHTAG]#realisticBE[/HASHTAG]Pogba Leo kawanyamazisha watu
Hahahaha wameinamisha sura zao.Pogba Leo kawanyamazisha watu
PogbackMan of the Match: MATA
Mdogo mdogo tu itarudi. Nilichofurahi katupia nyavuni leomaana kasemwa sanaBado hajarudisha hata robo ya fedha aliyonunuliwa mkuu [HASHTAG]#realisticBE[/HASHTAG]