Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mi nafikiri umefika wakati kwa Mourinho kuanza kufikiria upya nafasi ya Wazza ndani ya Starting XI ya Man Utd, Wazza amepoteza ubora wake maradufu.

Pia afanye uamuzi sahihi wa Kiungo wa kucheza kando ya Pogba, mengineyo bado nina imani na Kocha na muda wa kurekebisha makosa upo.

Win, Draw or Loose, We are United.
Never say never, United We stand.

GGMU.
 
Kocha tunaye kwani timu alizotoka aliwezaje kupata ubingwa.
Aliwezaje kushinda?
Mou , kocha mliyenaye alikuwa na bus(basi) lake, alikuwa anali-park hilo karibu na alipo mlinda mlango, lilikuwa linaziba ukuta wote, hapiti, mbu, nzi, mende wala mbuzi. Wajanja wamebuni mbinu, walitegesha misumari na matairi ya basi yametolewa upepo wote, yapo bapa, flat tyres, kwa hiyo nafasi imepatikana ya watford, kupitisha pembe zao ,wakikukosa wanakudunga mwiba.

Watford wakiamua kukushughulikia kwa pembe au mwiba ni laima utaanza kujiuliza maswali mengi na kuhisi maumivu makali, makali kweli.
 
Reactions: BAK
Ukimweka Rooney benchi mzigo kwa viungo wa chini utapungua na kuwafichia madudu na timu itashambulia kupitia kati
Piga benchi Rooney
Sogeza Pogba mbele
...............
 
Bado tunachochea kifuu. Usiombe kikawaka.
 
Nafikiri hujaangalia mpira zama za akina Lee Bowyer, Kevin Davies, Robbie Savage.

Hao walikuwa ni zaidi ya wakorofi na kadi ilikuwa jambo la kawaida.
 
Hizi picha zimesambaa kwenye mitandao ya kijamii naomba msiziamini ni za kutengenezwa(Photo Shop) na ukiziona toa taarifa TCRA maana ni za kichochezi.


NB:Mzee Arsene Masawe Wenger anaongeza sababu za kugoma kwenda sokoni,huwezi kua na £89+M uwanjani inakimbia kama headless chicken.
 
team itaka tu poa ,:hamna haja ya kulaumu . kwa ligi hii ilivyo kila timu itafungwa hakuna timu ambayo itamaliza ligi bila kufungwa.
 
BREAKING NEWS. Juventus to appear in court soon for selling a chinese product to Man United -Zhongba
Hapana mkuu.
Juve waliuza Pogba bora,Man utd wakanunua Pogba ghali,Mourinho ameamua kumtumia Pogba mbovu.
 
Nionavyo mimi,timu ni nzuri,ila sina uhakika kama Mourinho anaweza kuujua na kuutumia uzuri wa kikosi chake.
 
Dah next PL mnacheza na Leicester City timu ambayo ni nzuri kuliko Watford. If Mourinho doesn't get his act right mnaweza kupoteza points tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…