Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,243
Aliwezaje kushinda?Kocha tunaye kwani timu alizotoka aliwezaje kupata ubingwa.
Mtafute Dr. Tiba.Hali yetu ni mbaya mno!
Ukimweka Rooney benchi mzigo kwa viungo wa chini utapungua na kuwafichia madudu na timu itashambulia kupitia katiMi nafikiri umefika wakati kwa Mourinho kuanza kufikiria upya nafasi ya Wazza ndani ya Starting XI ya Man Utd, Wazza amepoteza ubora wake maradufu.
Pia afanye uamuzi sahihi wa Kiungo wa kucheza kando ya Pogba, mengineyo bado nina imani na Kocha na muda wa kurekebisha makosa upo.
Win, Draw or Loose, We are United.
Never say never, United We stand.
GGMU.
Hali yetu ni mbaya mno!
Bado tunachochea kifuu. Usiombe kikawaka.
Nafikiri hujaangalia mpira zama za akina Lee Bowyer, Kevin Davies, Robbie Savage.Nnafahamu hilo ila Fellaini ana tatizo ka nidhamu.
Baada ya Juan Zuniga kufunga goli la pili akaenda kumkwatua.
Baadae amesababisha penalty.
Nimekuwa nikimwangalia Fellaini tangu akiwa Everton na hata timu ya nchi yake ya Belgium.
Mwaka 2014 Fellaini alitajwa kuwa ni mmoja wa worst signings of the season in England.
Fuatilia idadi ya kadi alizo nazo na namba ya suspensions ndiyo utaelewa.
Msimu wake wa kwanza England akichezea Everton Fellaini alipewa kadi mara 10 katika mechi 17 na ikabidi akutane na meneja wa waamuzi kuzungumzia hali hiyo na akaapa kujirekebisha ingawa baada ya mkutano huo alipewa kadi zingine 3 katika mechi 16 alizocheza hivyo kuonyesha improvement.
Hapo sawa.Ukimweka Rooney benchi mzigo kwa viungo wa chini utapungua na kuwafichia madudu na timu itashambulia kupitia kati
Piga benchi Rooney
Sogeza Pogba mbele
...............
Akimwanzisha Wazza hapo kiungo na Martial pembeni next game sitaenda kibanda umiza kuangaliaHapo sawa.
Hapana mkuu.BREAKING NEWS. Juventus to appear in court soon for selling a chinese product to Man United -Zhongba