Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Juan Camilo Zuniga from Napoli, Bologna na sasa Watford kwa mkopo.
 
Litarudi tu
Leo hapa ni sare 2-2

Wakiacha kuwapa Watford mipira mingi ya adhabu labda wanaweza kuweka sare ya 2-2

Ila muda unayoyoma.

Dah! watani vipi tena?

Where is Pogba, Fellaini, Rooney, Herrera na Ashley Young?
 
Mourinho akitaka timu iwe na balance inabidi amtoe Rooney na Fellain kwenye first team.
 
Wakiacha kuwapa Watford mipira mingi ya adhabu labda wanaweza kuweka sare ya 2-2

Ila muda unayoyoma.

Dah! watani vipi tena?

Where is Pogba, Fellaini, Rooney, Herrera na Ashley Young?
...and the great Ibrakadabra??
 
1474202961673_lc_galleryImage_18_September_2016_Premier.JPG
 
lol poleni. Ila nawaonea huruma refa kachangia kwa kiasi fulani kifo chenu cha leo.
 
Back
Top Bottom