Mangimeli
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,151
- 287
Wameukalia mpakq sa ivGlory, glory Manchester United.
Tupeni raha na leo wakaanga sumu wainywe wenyewe.
Wameukalia mpakq sa ivGlory, glory Manchester United.
Tupeni raha na leo wakaanga sumu wainywe wenyewe.
Litarudi tu
Leo hapa ni sare 2-2
...and the great Ibrakadabra??Wakiacha kuwapa Watford mipira mingi ya adhabu labda wanaweza kuweka sare ya 2-2
Ila muda unayoyoma.
Dah! watani vipi tena?
Where is Pogba, Fellaini, Rooney, Herrera na Ashley Young?
Nimefurahi kweli wanadai tunakamia mechi kubwa mbona wao wa mechi ndogo hali mbaya?Watford...