Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sijui tuna laaana za Moyes. Sielewi shida ni nini wakati wachezaji wa mwendokasi tunao lakini kiwango wanachoonyesha ni TUKTUK...
 
Toka Man city wawabatize kwa juice ya ukwaju mmekuwa rojorojo kuzidi Marcus Rojo..yani IBRA leo miguu mizito kama amefungwa mawe
 
Kwa hiyo post yako nimekuonea huruma. Yaani leo shabiki wa Man anamlaumu refa hata kabla ya break!!!

Hivi field Marshall Moorino akivurunda mtatoa wapi kocha???!!

Julio?
Tofauti yangu mimi na wengine sizungumzii kishabiki nazungumzia ukweli. Kama umeangalia hii mechi utaona wazi jinsi refa anavyopata tabu. Sijasema anapendelea timu yoyote.

As of Mourinho man utd ni timu inayotafuta makombe na pesa sasa wakiona kocha hafikii standard zao wanabadilisha haraka iwezekanavyo. Hii sio timu inayotafuta kucheza champions league,ni timu inayotaka kutwaa CL ndio maana pamoja na kufanya vibaya bado mapato kila mwaka yanaongezeka lakini man utd ni timu ya makombe kipato kinakuja baadae.

Ingekuwa tunajali kipato tusingebadili kocha hats tukifungwa kwasababu revenues bado zinakuwa pamoja na kutoshinda any major trophy in the last 3/4 years.

Nafikiri umenielewaa.
 
Naomba mechi hii iishe hivihivi au wenyeji wapate magoli mengine
 
Roho ngumu tunashinda leo retreat is no longer possible full time wat 1 man utd 3
 
Before you laugh at kids who believe in fairytales, remember, there are adults who actually believe Paul Pogba is worth £89m.
 
Tofauti yangu mimi na wengine sizungumzii kishabiki nazungumzia ukweli. Kama umeangalia hii mechi utaona wazi jinsi refa anavyopata tabu. Sijasema anapendelea timu yoyote.

As of Mourinho man utd ni timu inayotafuta makombe na pesa sasa wakiona kocha hafikii standard zao wanabadilisha haraka iwezekanavyo. Hii sio timu inayotafuta kucheza champions league,ni timu inayotaka kutwaa CL ndio maana pamoja na kufanya vibaya bado mapato kila mwaka yanaongezeka lakini man utd ni timu ya makombe kipato kinakuja baadae.

Ingekuwa tunajali kipato tusingebadili kocha hats tukifungwa kwasababu revenues bado zinakuwa pamoja na kutoshinda any major trophy in the last 3/4 years.

Nafikiri umenielewaa.
Umenikumbusha binamu yangu miaka ile ya dhahabu. Siku Man anacheza anaandaa jezi yake mapemaa. Wakati ukiwadia anaelekea bar kucheki mechi huku akitabasamu.

Baadaye sasa.....anatoka home hajiamini kabisa!!!
 
Mbona hakuna live commentary humu jukwaani? Wengine tupo mbali na 'visimbusi'!!
 
Mimi Napita tu Tutaonana Tarehe 17/10 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom