Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rooney inabidi apumzike sasa. Timu haiwezi kuwabeba Rooney na Ibra. Mbaya zaidi Rooney anacheza nafasi ambayo inabidi awe anakimbia sana.
 
Hii game ni ngumu kwa huyu refa.
Kwa hiyo post yako nimekuonea huruma. Yaani leo shabiki wa Man anamlaumu refa hata kabla ya break!!!

Hivi field Marshall Moorino akivurunda mtatoa wapi kocha???!!

Julio?
 
14322596_1255032987912656_1916192686843533754_n.jpg
 
Msiwe wabishi hamieni Man City, au Arsenal... Ili muanze kuzoea soka safi......

Huku hakuna kubutua butua!
 
Back
Top Bottom