Hii game ni ngumu kwa huyu refa.
Kwa hiyo post yako nimekuonea huruma. Yaani leo shabiki wa Man anamlaumu refa hata kabla ya break!!!

HAMIENI TIMU ZA MAANA KAMA BARCELONA,ATLETICO MADRID, BERYAN, R.MADRID , MAN CITY NA JUVE
Ww hama tu. . sisi tuache kama tulivyo. . kuna tofauti kati ya kuwa fan na kuwa die hard fan, mie ni die hard fanHAMIENI TIMU ZA MAANA KAMA BARCELONA,ATLETICO MADRID, BERYAN, R.MADRID , MAN CITY NA JUVE
Sijaelewa kwa nini Felaini anaanza
Hakuna mid nyingine?
Acha uongo, huyo si ndo mlikua mnashupalia the special onetangu morinyo achukue timu sina furaha kabisa
Basi chukua Filimbi wewe uwe refaHii game ni ngumu kwa huyu refa.
Hahahahaha bas ingia wewe ukakabewachezaji hawakabi wala hawashambulii
Basi chukua filimbi weweMatial amefanyiwa faul ya wazi kabisa. Lakini referee kichwa maji